Mpenzi wangu analalamika simtafuti

Mpenzi wangu analalamika simtafuti

We naye punguza shobo tuliza kipago hicho, kama ndugu zako wa kike na wapenzi wako wanajiuza basi usidhani kila mwanamke anajiuza, hao wanaume takataka wana hela gani za kunipa hadi nijiuze kwao (mwanaume yeyote anayenunua malaya ni takataka tu)
Wewe si umesema unatoa K tu kwa mabwana zako hiyo ni ishara ya umalaya
 
Yaan mtu km wee mie ndo hitaji langu kabisaaa, hebu muache uje kwangu.
 
Scroll up utaona malaya wewe
Wewe uliyesema hivyo ndio ufanye hiyo kazi ya kuscroll up uoneshe ni wapi nilisema hayo, vinginevyo utaishia kuonekana una shobo mtoto wa kiume, unavamia mada halafu badala ya kujadili hoja unanijadili mimi..mbona unakuwa kama ulizaliwa kwenye choo cha kilabuni
 
Back
Top Bottom