Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Unachoongea ni sahihi mkuu. Mkune mwanamke aridhike kisawasawa mbona hata simu utakuwa unapigiwa. Tena kama hao wake za watu huwa wanakuwa na nyege sanaSasa kuna mama mmoja akawa anasema mie yule na midevu yake nimpeleke wapi. Mmama mwingine akamjibu hivii nanukuu "WEE MAMA FULANI (jina la mwanae limenitoka) YULE MZEE MAKSUDI ACHA TU TUMGOMBANIE MAANA ANANYONYA UCHI SI MCHEZO"
LovelovieNimekumbuka zamani nilivyokuwa mdogo mama aliniagiza sehemu kununua vitumbua kwa ajili ya chai, sasa nilivyofika pale nikakuta kina mama wa mtaani na wao wapo pale wanapiga story huku wakisubiria vitumbua.
Sasa kidogo wakahama story wakaanza kumuongelea mzee mmoja hivi alikuwa ni fundi umeme anaitwa Mzee Maksudi Ngwita (Real name kama kuna mtu wa Ilala hapa atamjua)
Huyo mzee alikuwa ana sura mbaya, mweusi tii na midevu mingi ila wanawake walikuwa wanamgombania sana hadi wake za watu.
Sasa kuna mama mmoja akawa anasema mie yule na midevu yake nimpeleke wapi. Mmama mwingine akamjibu hivii nanukuu "WEE MAMA FULANI (jina la mwanae limenitoka) YULE MZEE MAKSUDI ACHA TU TUMGOMBANIE MAANA ANANYONYA UCHI SI MCHEZO"
Sasa wewe remba kina Mzee wa kupambania , mzabzab na National Anthem wakusaidie kazi.
Wewe huoni wenzako wote wako kimya kwenye huu uzi maana washajua utamu wake sema tu aibu ya kike wako kimya 🤣🤣🤣 mimi naomba kwenye hizi harakati za kunyaduana ukutane na kidume kikufyonzeShindwaaaaaaaa kabisa 😳😳
Ndo maana yule denti akakuacha[emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu ndy uhalisia ulivyo,,
Sasa endelea kutomsikiliza mkeo halafu uje ufunguwe Uzi wa kutafuniwa.
Hiyo mipepo iwatoke aisehWewe huoni wenzako wote wako kimya kwenye huu uzi maana washajua utamu wake sema tu aibu ya kike wako kimya 🤣🤣🤣 mimi naomba kwenye hizi harakati za kunyaduana ukutane na kidume kikufyonze
Akiiweza hii nitazama fastaMfanyie hili zoezi hapa kwanza kabla hajakupa cancer ya koo uone kama yeye atakubali!!!
View attachment 2471158
DuuhWakuu
Nimekuwa na mpenzi wangu kwa zaidi miezi mitatu, katika mahusiano yetu tunaendana sana pia tumejiwekea malengo inshallah panapo majariwa tuoane
Tatizo ninalopitia na mimi kwangu naona ni ngumu kweli ni kila tunapokutana mwanamke huyu anataka nipige deki yaani nizame chumvi kitu ambacho siwezi na kinanitia kinyaa mno
Kwa upande wake yeye ananinyoonya saana, mnaweza kuwa mnapiga show akaichomoa anainyonya then hapohapo anataka tulane mate, utata huanzia hapo
Yaani ailambe iliyotoka chumvini halafu anilishe mate? HAPANA kwa kweli
Wadau naomba ushauri, huyu mwanamke nampenda sana lakini kuzama chumvini ni tatizo natokaje hapa?