Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Mnatuonea wanaume wa DarDharau zote zinazokwenda kwa semani hii tu ndio umeiona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatuonea wanaume wa DarDharau zote zinazokwenda kwa semani hii tu ndio umeiona?
Jino kwa jino mkuu, nawewe mpatie romance tu mnyime penziNaitwa Selemani nina mpenzi wangu tuko kwenye mahusiano mwaka na miezi miwili sasa ila hataki kunipa penzi kabisa ananambia ni bikra na atanipa tu nikifunga nae harusi..
Chakushangaza naingiaga nae lodge tunafanya romance naked hadi alaloana kabisa ila nikitaka kuingiza hapo ugomvi utazuka
Siku moja niliingia nae lodge tukafanya romanc fresh kama lisaa na nusu hivi sasa nikalazimisha kuingiza ila kichwa kiliingia kidogo sana akawa alipiga kelele na kunisukuma pembeni na tangu siku hiyo hataki kabisa kuingia na mimi lodge
Kama ilivo kawaida sisi wanaume hatuwez kukaa muda mrefu nimejarb kutafuta pakupunguzia shida ila nampenda nifanyeje jamanii nihamie huku kwa mchepuko moja kwa mojaa au niendelee kuhold zote kwa pamoja
hajampenda vipi mkuu??kuna bikra inatolewa bila shuruba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uyo inawezekana ana mawili moja ajakupenda au ana woga wa kufanya mapenzi.
Au ni mchoyo tu wa vyake
hajampenda vipi mkuu??kuna bikra inatolewa bila shuruba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]