Mkuu naona unamchana mwambaHuyo demu humpendi la kwanza ila la pili ana utoto mwingi sababu mtu mzima akiwa haelewi kuwa kazini sio sehemu ya kuleteana mapenzi yenu atakuwa na akili mbovu tu! We demu unamuacha anaangalia season tu siku nzima unategemea kuna nini zaidi ya nyege za standard gauge kumuwasha.
Tafta demu mwenye majukumu anayejishughulisha uone kama atakuwa na huo ujinga wa text kila saa! Jifunze sio kila mwenye matako na sura nzuri anafaa kuwa mpenzi boya ww!
Wakipata ma bwana wapya wanatugeuza wafungwa. Mpaka siku wakiwa kwenye mood nzuri ndo wanatoa unblock [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah kumbe unaijua michezo yako eeh baada ya kupata bwana mpya ndio mnavyotufanyiaga wakulungwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahha tuishi humuWakipata ma bwana wapya wanatugeuza wafungwa. Mpaka siku wakiwa kwenye mood nzuri ndo wanatoa unblock [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1849857
Eeh nampasua kiyunaniMkuu naona unamchana mwamba
Mkuu acha Basi😂[emoji4][emoji4][emoji4]yumo humu ameshaelewa maana ID yako anaijua
Hv wapogo hao wa I can't live without you...Teh uchimi umemaanisha uchumi sio? Kama ni miss independent umekwisha labda kama awe anakupenda sana yani ni I can't live without you
Tupo....Hv wapogo hao wa I can't live without you...
Aah wap [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupo....
Haki vile, tupo yani I can't live....Aah wap [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui itafika kipindi ukipigiwa simu ni kupewa maagizo...Wakati penzi likichakaa atakua ye ndio anatuma mimeseji nakupenda mamy nakupenda sana i miss you anajibiwa "k"
Aache wenge ajifaidie penzi jipya