shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,068
- 3,507
Jiandae akijua ndoa inaota mbawaDaaah hii comment siwezi pita bila kuijbu, kuna katoto kamoja kama miaka kama 22 nimekapiga mimba afu hata sina mpango nako, yani hapa nawaza tu wife akijua itakuwaje.
Sent using Jamii Forums mobile app