Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wabongo wa kike tu hata wa kiume wapo wenye tabia hizo za kijinga,we umempigia mtu simu mara moja imeitaaa hadi ikakata yenyewe,kuna ulazima gani wa kupiga tena muda huo huo zaidi ya mara tatu,na mi sms zaidi ya 5 juu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] mnakera kwa kweliHili wanawake wengi sana wa Bongo hulifanya. Kama mtu umezoea yale mapenzi ya kizungu mpenzi wako anakupigia simu anakuuliza kwanza ''do you have a time.....?'' au ''.....are you busy.....?'' unaweza kumbwatukia vibaya sana. Nadhani wapenzi wengi wanaofanya hivi hawajawahi kufanya kazi ili kujua umuhimu wa muda. Ni kero. Unakuta pengine uko busy akipiga simu mara moja usipopokea hawezi kujiongoza akate ili ukipate muda baadae upige, na badala yake anapiga inaita mfululizo mpaka inakuwa kero.
Ni kweli. Ni pande zote. Mimi ni mwanamme hivyo nimezungumzia upande wa pili. Ila nakubali ni tatizo la pande zote. Na siyo tu wapenzi. Mara nyingine unakuta hata wanandoa wanakera hivyo. Unajua sisi wafrika huwa tunadhani mtu akiwa mpenzi au mwenza wako basi uhuru wake anakuwa ameu-surrender kwako. Hata privacy anatakiwa asiwe nayo. Unakuta mtu anakuja ghafla anapokonya simu ya mwenzake na kuanza kupekuwa bila ruhusa.Sio wabongo wa kike tu hata wa kiume wapo wenye tabia hizo za kijinga,we umempigia mtu simu mara moja imeitaaa hadi ikakata yenyewe,kuna ulazima gani wa kupiga tena muda huo huo zaidi ya mara tatu,na mi sms zaidi ya 5 juu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] mnakera kwa kweli
Mimi mara moja tu..na sometime nakata hata kabla haijaita mpaka mwisho.Ushamba tu, mi napiga simu mara 2 tu! Usipopokea basi sipigi tena
Huyo sio wako tena.Jiongeze tu hapo.Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma
- Akipga simu hatak kumaliza maongezi
- Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
- kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
- Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
- Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Hata mie na ndugu yako mwanzoni ilikua hivi hivi, ila sahivi imebaki historia, [emoji23][emoji23][emoji23]Penzi jipya sio [emoji23][emoji23][emoji23]
Shangaa na wewe mkuu,eti kupekuana pekuana kwenye simu,kupigiana simu muda wote 24/7 ndo mapenzi.kama binadamu wakati mwingine unahitaji privacy,unahitaji muda wa kummis mwenzako,simu yake ishike lakini tambua sio mali yako,kama sio emergency ukimpigia simu mwenzio mara moja hajapokea tuma sms moja tulia,subiri akiwa na nafasi ya kuongea na wewe atakupigia.Ni kweli. Ni pande zote. Mimi ni mwanamme hivyo nimezungumzia upande wa pili. Ila nakubali ni tatizo la pande zote. Na siyo tu wapenzi. Mara nyingine unakuta hata wanandoa wanakera hivyo. Unajua sisi wafrika huwa tunadhani mtu akiwa mpenzi au mwenza wako basi uhuru wake anakuwa ameu-surrender kwako. Hata privacy anatakiwa asiwe nayo. Unakuta mtu anakuja ghafla anapokonya simu ya mwenzake na kuanza kupekuwa bila ruhusa.
Sisi tusio na kazi tuna haki ya kupendwa pia...Huyo demu humpendi la kwanza ila la pili ana utoto mwingi sababu mtu mzima akiwa haelewi kuwa kazini sio sehemu ya kuleteana mapenzi yenu atakuwa na akili mbovu tu! We demu unamuacha anaangalia season tu siku nzima unategemea kuna nini zaidi ya nyege za standard gauge kumuwasha.
Tafta demu mwenye majukumu anayejishughulisha uone kama atakuwa na huo ujinga wa text kila saa! Jifunze sio kila mwenye matako na sura nzuri anafaa kuwa mpenzi boya ww!
Hahahah haki iyo kweli mnayo ila ni wasumbufu sana ndio ubovu wenu 😅 can’t let a nigga do his stuff,,,its all day buggin on calls like wtf Girl...We should seein by d evenin!Sisi tusio na kazi tuna haki ya kupendwa pia...
She's a clingy type na huwa wanasumbuliwa na upweke au inferiority complex. Ukimuendekeza atakuja kuwa obsessive.Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma
- Akipga simu hatak kumaliza maongezi
- Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
- kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
- Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
- Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Daaah hii comment siwezi pita bila kuijbu, kuna katoto kamoja kama miaka kama 22 nimekapiga mimba afu hata sina mpango nako, yani hapa nawaza tu wife akijua itakuwaje.Mtie mimba atakuwa bize kulea mimba na hatimaye mtoto.
Kama huwezi tia mimba omba msaada tupo wengi wenye uwezo wa 5G.
Moyo baba moyoooHahahah haki iyo kweli mnayo ila ni wasumbufu sana ndio ubovu wenu 😅 can’t let a nigga do his stuff,,,its all day buggin on calls like wtf Girl...We should seein by d evenin!
Kwanini umechagua kumuharibia future binti mdogo hivo?Daaah hii comment siwezi pita bila kuijbu, kuna katoto kamoja kama miaka kama 22 nimekapiga mimba afu hata sina mpango nako, yani hapa nawaza tu wife akijua itakuwaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu kwa kiasi natamani tuonane wewe mremboMoyo baba moyooo
Nitumie nauli my wangu na ya kutolea....😂😂😂😂Kila kitu kwa kiasi natamani tuonane wewe mrembo
Nasikitika kwamba rates zimepanda kwahio we njoo na boda boda wako tutamalizana hapa nikikupokeaNitumie nauli dear, na ya kutolea....😂😂😂😂
Mwache mtoto afurahie na watoto wenzake...tafuta mkubwa mwenzie aliyekomaa kiakiliTumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma
- Akipga simu hatak kumaliza maongezi
- Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
- kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
- Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
- Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo