Mpenzi wangu ananisumbua kila wakati. Nifanyaje?

Mpenzi wangu ananisumbua kila wakati. Nifanyaje?

Hili wanawake wengi sana wa Bongo hulifanya. Kama mtu umezoea yale mapenzi ya kizungu mpenzi wako anakupigia simu anakuuliza kwanza ''do you have a time.....?'' au ''.....are you busy.....?'' unaweza kumbwatukia vibaya sana. Nadhani wapenzi wengi wanaofanya hivi hawajawahi kufanya kazi ili kujua umuhimu wa muda. Ni kero. Unakuta pengine uko busy akipiga simu mara moja usipopokea hawezi kujiongoza akate ili ukipate muda baadae upige, na badala yake anapiga inaita mfululizo mpaka inakuwa kero.
Sio wabongo wa kike tu hata wa kiume wapo wenye tabia hizo za kijinga,we umempigia mtu simu mara moja imeitaaa hadi ikakata yenyewe,kuna ulazima gani wa kupiga tena muda huo huo zaidi ya mara tatu,na mi sms zaidi ya 5 juu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] mnakera kwa kweli
 
Sio wabongo wa kike tu hata wa kiume wapo wenye tabia hizo za kijinga,we umempigia mtu simu mara moja imeitaaa hadi ikakata yenyewe,kuna ulazima gani wa kupiga tena muda huo huo zaidi ya mara tatu,na mi sms zaidi ya 5 juu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] mnakera kwa kweli
Ni kweli. Ni pande zote. Mimi ni mwanamme hivyo nimezungumzia upande wa pili. Ila nakubali ni tatizo la pande zote. Na siyo tu wapenzi. Mara nyingine unakuta hata wanandoa wanakera hivyo. Unajua sisi wafrika huwa tunadhani mtu akiwa mpenzi au mwenza wako basi uhuru wake anakuwa ameu-surrender kwako. Hata privacy anatakiwa asiwe nayo. Unakuta mtu anakuja ghafla anapokonya simu ya mwenzake na kuanza kupekuwa bila ruhusa.
 
Hivi kumchana mtu maukweli watu wanaona jau ama veepee? Mkuu hilo jambo we kama mwanaume unamwambia bwana eeh..mimi napenda hivi hivi na hivi basi. Mbona ishu ndogo sana au unaogopa atasepa jumla jumla
Kama akipita hivi bas hakuwa wa kwako sema saivi watu wanapenda kero sana. Amua bwana akili kumkichwa Man up niggah
 
Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!

Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
  • Akipga simu hatak kumaliza maongezi
  • Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
  • kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
  • Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
  • Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma

Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Huyo sio wako tena.Jiongeze tu hapo.
 
Ni kweli. Ni pande zote. Mimi ni mwanamme hivyo nimezungumzia upande wa pili. Ila nakubali ni tatizo la pande zote. Na siyo tu wapenzi. Mara nyingine unakuta hata wanandoa wanakera hivyo. Unajua sisi wafrika huwa tunadhani mtu akiwa mpenzi au mwenza wako basi uhuru wake anakuwa ameu-surrender kwako. Hata privacy anatakiwa asiwe nayo. Unakuta mtu anakuja ghafla anapokonya simu ya mwenzake na kuanza kupekuwa bila ruhusa.
Shangaa na wewe mkuu,eti kupekuana pekuana kwenye simu,kupigiana simu muda wote 24/7 ndo mapenzi.kama binadamu wakati mwingine unahitaji privacy,unahitaji muda wa kummis mwenzako,simu yake ishike lakini tambua sio mali yako,kama sio emergency ukimpigia simu mwenzio mara moja hajapokea tuma sms moja tulia,subiri akiwa na nafasi ya kuongea na wewe atakupigia.
 
Akianza kutokukutafuta mpaka wewe umtafute ata kama ni siku nzima,,tunaomba usije kumfungulia uzi hapa.
 
Huyo demu humpendi la kwanza ila la pili ana utoto mwingi sababu mtu mzima akiwa haelewi kuwa kazini sio sehemu ya kuleteana mapenzi yenu atakuwa na akili mbovu tu! We demu unamuacha anaangalia season tu siku nzima unategemea kuna nini zaidi ya nyege za standard gauge kumuwasha.

Tafta demu mwenye majukumu anayejishughulisha uone kama atakuwa na huo ujinga wa text kila saa! Jifunze sio kila mwenye matako na sura nzuri anafaa kuwa mpenzi boya ww!
Sisi tusio na kazi tuna haki ya kupendwa pia...
 
Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!

Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
  • Akipga simu hatak kumaliza maongezi
  • Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
  • kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
  • Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
  • Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma

Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
She's a clingy type na huwa wanasumbuliwa na upweke au inferiority complex. Ukimuendekeza atakuja kuwa obsessive.
 
Mtie mimba atakuwa bize kulea mimba na hatimaye mtoto.
Kama huwezi tia mimba omba msaada tupo wengi wenye uwezo wa 5G.
Daaah hii comment siwezi pita bila kuijbu, kuna katoto kamoja kama miaka kama 22 nimekapiga mimba afu hata sina mpango nako, yani hapa nawaza tu wife akijua itakuwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!

Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
  • Akipga simu hatak kumaliza maongezi
  • Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
  • kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
  • Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
  • Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakini ni mtu mzma

Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Mwache mtoto afurahie na watoto wenzake...tafuta mkubwa mwenzie aliyekomaa kiakili
 
Back
Top Bottom