Mpenzi wangu anapenda ngono sana

Mpenzi wangu anapenda ngono sana

Sijaelewa Hiyo 30000 kila ukimlaa au??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sio kuwa anapenda sex au kwamba ndp unamkuna sana hapana anapenda HELA UNAYOMPAA kila mkisex... Unanunua Malaya mmoja mara 2???? Acha ujinga kakaaa...
 
Kama huwezi gharama baki na mkeo ulomjengea au unaemlipia kodi.
 
Ushauri wangu bora member humu tumchangie kila mwezi isipungue 120,000/-
Ni aibu kwa member wote humu kushindwa kumsaidia jamaa hela ndogo kiasi hicho.
Mtoa mada weka namba yako ya muamala wanajamii tuokoe jahazi.
Haha Hahahah naomba na mimi
 
Mimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?

Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Umeshaoa na bado unaangaika tena na wanawake wa nini? rizika na mke wako, hao wengine tuachieni vijana.

Mimi nikishaoa, mwanamke yeyote asitegemee kutongozwa na mimi, au kuliwa na mimi.

Ukishapata mke jitahidi kutulia na mkeo, huo ndo utamu wako. Hao wengine tuachieni vijana ambao bado tunatafuta mke/wake.
 
Mimi nimeoa na mke ila nimekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unafanya zinaa tu?

Je kuna haja ya kuendelea na mtu kama huyu?
Jehanamu inakungoja, jiandae!
 
Umeshaoa na bado unaangaika tena na wanawake wa nini? rizika na mke wako, hao wengine tuachieni vijana.

Mimi nikishaoa, mwanamke yeyote asitegemee kutongozwa na mimi, au kuliwa na mimi.

Ukishapata mke jitahidi kutulia na mkeo, huo ndo utamu wako. Hao wengine tuachieni vijana ambao bado tunatafuta mke/wake.
Subiri uoe kwanza, uishi na mke ndani miaka mi3 hivi, utarudi uje ufute huu ujumbe wako.
 
Sijaelewa Hiyo 30000 kila ukimlaa au??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sio kuwa anapenda sex au kwamba ndp unamkuna sana hapana anapenda HELA UNAYOMPAA kila mkisex... Unanunua Malaya mmoja mara 2???? Acha ujinga kakaaa...
30,000 ni cost ya hotel, acha vinywaji na nauli, so kwa mwezi km una meet nae mara 4 unaeza ona ni gharama kiasi gani.
 
30,000 ni cost ya hotel, acha vinywaji na nauli, so kwa mwezi km una meet nae mara 4 unaeza ona ni gharama kiasi gani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee polee tulia na mkeo kama umeoa umalaya haulipi kakaa..
 
Mimi nimeoa na mke ila nimekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unafanya zinaa tu?

Je kuna haja ya kuendelea na mtu kama huyu?
Endelea bwashee hamna hasara hadi ule utelezi huko magotini uishe
 
Back
Top Bottom