Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Najua unatembelea kwenye hili jukwaa na kukutana huu uzi wangu.
Nijibu japo kidogo basi
Nimemis busu lako. Nimemis ulivyo kuwa unaninyonya mate.
Huku niliko sisahau ile siku tulipo fungulia wimbo wa celine dayoni tukaanza kunyonyana mate huku wimbo unapiga taratibu kwa mbali.
Sitosahau Ile siku uliponikumbatia nikapigwa shot ya umeme na kisha ukanipakata nikanasa karibu na mlima wa chuchu za nyonyo zako.
Baby au umepata mwingine huko uliko. Kila siku nikilala naota, naota kama unaniita alafu nikiitika unaanza kuninyonya ulimi. Alafu nikiamuka nakuta shuka langu lote limeloana.
Nijibu japo kidogo basi
Nimemis busu lako. Nimemis ulivyo kuwa unaninyonya mate.
Huku niliko sisahau ile siku tulipo fungulia wimbo wa celine dayoni tukaanza kunyonyana mate huku wimbo unapiga taratibu kwa mbali.
Sitosahau Ile siku uliponikumbatia nikapigwa shot ya umeme na kisha ukanipakata nikanasa karibu na mlima wa chuchu za nyonyo zako.
Baby au umepata mwingine huko uliko. Kila siku nikilala naota, naota kama unaniita alafu nikiitika unaanza kuninyonya ulimi. Alafu nikiamuka nakuta shuka langu lote limeloana.