Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulimkuta bikira komaa nae.......kama ulikuta kashagongwa tafuta mwengineJamn Wana JF habari za muda huu, mimi nina mpenzi Wangu yaani hataki kupokea simu, Wala kujibu sms, na nikienda kwake ananiambia mbona hujatoa taarifa , jamani shida itakuwa ni nini hebu nisaidieni
Karibu afisini kwetu tuone namna ya kukusaidiaJamn Wana JF habari za muda huu, mimi nina mpenzi Wangu yaani hataki kupokea simu, Wala kujibu sms, na nikienda kwake ananiambia mbona hujatoa taarifa , jamani shida itakuwa ni nini hebu nisaidieni
Ofisi yenu iko wapi mkuuKaribu afisini kwetu tuone namna ya kukusaidia
YeahUkiachwa, achika.
Shida unaenda kwake bila taarifa na unamsumbua.Jamn Wana JF habari za muda huu, mimi nina mpenzi Wangu yaani hataki kupokea simu, Wala kujibu sms, na nikienda kwake ananiambia mbona hujatoa taarifa , jamani shida itakuwa ni nini hebu nisaidieni
UKICHOKWA, CHOKAAA!!Jamn Wana JF habari za muda huu, mimi nina mpenzi Wangu yaani hataki kupokea simu, Wala kujibu sms, na nikienda kwake ananiambia mbona hujatoa taarifa , jamani shida itakuwa ni nini hebu nisaidieni