Mkuu kuna mambo mawili hapa ambayo ninayaona:
1. Inawezekana mtwangio wako ni mkubwa kupita saizi inayomfaa my wife wako na kwa kuwa bado hajauzoea ndo maana inamletea shida na kusikia maumivu hayo, lakini inanipa shida hasa ninaposikia una miaka 2 nae, so siipi nguvu hii sababu
2 sababu ya pili ambayo naipa nguvu inawezekana wewe ni mtu wa kukulupuka wakati wa yale mambo yetu... yaani ukichojolewa nguo tu unatafuta wapi kinu utwange... kiufupi hufanyi maandalizi ya kutosha kwa mwenzio.. Tulia anza na romance za kawaida, kissess na hata touches za yale maeneo yake kuongeza mihemko, hakikisha kabla hujaenda huko umespend hata nusu saa kwa initial preparations.. na hasa mpaka umwone mwenzio yupo wet namna flan huko kunako...hapo inamaana ndo upo tayari kupokelewa, unapoingia usianze kwa spidi 200, anza taratibu wakati kinu kinasikilizia mshindo wa mtwangia na kadri mda unavyoenda huku ukimsoma mwenzia jinsi anavojisikia toka usoni, ongeza kasi kufikia super sonic speed... Hakya nani nakwambia atakuwa anakuganda sana tu na baada ya mda fulani muulize vipi yale maumivu? ataishia kucheka tu