Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Saiv wapo wanamshenyeta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh🤣🤣Siyo kwamba simu haisikii ikiita tatizo ataendaje kuipokea?View attachment 3236640
Bado unamuita mpenzi?Wakuu
Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi.
I'm very sad
Usijali, yuko salama kwa Valentine wake 😜Wakuu
Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi.
I'm very sad
Wakuu
Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi.
I'm very sad
Mpenzi wako simu zangu anapokeaWakuu
Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi.
I'm very sad
Yuko na mpenzi wake wamepumzika baada ya ndiyo maana hapokei tafuta mpenzi wako atapokea ukimpgia.Wakuu
Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi.
I'm very sad
Ndio mmoja tuMkuu unampenzi mmoja?
How comes una mpenzi mmoja
😃Umesema ni mpenzi wako? Mbona yeye tunamuuliza hapa anakataa
MuhimuUna hekaheka Sanaa we jamaa
Kwani alie soma ndio ana nini cha ajabu? K nayo imesoma ndio mnawapa kichwa wasomi wana gawa kila kona. Kuna mda tuna force sana mahusiano ndio maana, piga chini tembea.Mapenzi ya kupimana huwa siyapendi.
Unamtumia SMS mwanamke hajibu, akikujibu baada ya masaa 6 tena kwa herufi mbili, kuumalamamaake, usenge huu. Au ukimpigia hapokei. Ukimpigia tena simu unakutana na "namba unayopiga haipatikani kwa sasa, tafadhali jaribu tena baadaye".
Unakuta mwanamke mwenyewe mshamba tu hajasoma kichwani hamna kitu, halafu anakupelekepeleka, kuumalamamaake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo kwamba simu haisikii ikiita tatizo ataendaje kuipokea?View attachment 3236640
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zile nywele alizosuka Kwa Hela Yako bhas Kuna baharia anazivuta na kuzifumua[emoji28][emoji28]