Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi

Kwani alie soma ndio ana nini cha ajabu? K nayo imesoma ndio mnawapa kichwa wasomi wana gawa kila kona. Kuna mda tuna force sana mahusiano ndio maana, piga chini tembea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…