Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba wasifu wakeMara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆
Uuuuwi jamaan kwanini umekufa weweee
Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭
Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
View attachment 1616776
View attachment 1616772
9 inches?Nenda Google
Inshort alikuwa na bonge la JEGEJE baba
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilitoka nae [emoji23][emoji23]
Kwenye movie ya 3, mwaka 1969 inaitwa Diamonds are Forever
Sasa 15 itaingiaje15 inches
We waonaje?!
Naje
Boss,Usipende kurukia kuanzisha mada mkuu oooh kipenzi changu wakati sio hata fanatic wa 007 sequels, haya mambo yana wenyewe.
Sawa mkuu, notedBoss,
Unamjua real Money Penny ??
Ukimjua huyo hutopata tabu why mleta mada kaanzisha huu Uzi.
By the way you should also know why mleta mada kajiita hivyo ndio u-judge Kama ni fanatic wa 007 or not.
Ni hivi,Sawa mkuu, noted
Nimekuelewa mkuu,Ila hakuna James Bond ambayo sijawahi iangalia au kitabu ambacho sijasoma. I own vitabu vyote vya Harry potter na James BondNi hivi,
Money Penny ni msaidizi (Secretary) wa Mr. M, ambae ndie Boss wake James Bond.
Lakini maagizo mengi (kama sio yote) kutoka kwa Mr. M kwenda kwa James Bond hua yanapitia kwa Bi. Money Penny . Ndio kusema kwamba 007 katika missions zake hukutana na Money Penny mara nyingi zaidi kuliko anavyokutana na Boss wake.
Katika usernames Zote zilizoko duniani mtu akiamua kujiita Money Penny kisha ukasema mtu huyo sio mpenzi wa filamu za 007 utakua unakosea mkuu, na pengine wewe ndio sio mpenzi wa 007.
Ndio kusema hakuna James Bond mlokole, wote vitombi.Hakuna movie yake ambayo inakosa scene ya kutandika ukuni!
Money Penny wake Nani?Eti bongo muvi nao wameanza kucheza james bond,ray kigosi eti ndio james bond
AsanteAmen brother
Huyo looser kavamia Uzi tu
OkayMwanaume WA Dar[emoji23][emoji23][emoji23]
Utaumia my!Inaingia Sana tu