SUPERUSER
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 960
- 307
nimecheka kwa sauti hadi abiria wote wananishangaa
Hahaha..mkuu abiria wote unamaanisha Gari zima wamekukodolea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimecheka kwa sauti hadi abiria wote wananishangaa
Sisi madereva wa bodaboda tunahamasika
Mie nakaaga kiupande kabisaa tena sipandi pikipiki huku mjini naogopa sana
Nimependa avatar yako
Hahaha..mkuu abiria wote unamaanisha Gari zima wamekukodolea?
Yah si unajua Noah ina siti chacheHahaha..mkuu abiria wote unamaanisha Gari zima wamekukodolea?
AsanteAtakuwa anacheka km fisi huyo😉
Wadau,
Jana jioni tulipotoka job na washikaji tulikubaliana twende kwenye vichochoro vya upanga kupata moja moto moja baridi foleni ikiendelea kupungua, huku pia tukijadili kasi ya upasuaji majipu na mustakabali mzima wa taifa letu.
Tulipofunguliwa tu vinywajimsichana wangu wa IFM akanipigia simu kuniuliza nilipo, nikamwambia nipo upanga na washikaji, akauliza na mm nije? Nikajibu poa njoo, nilijua tu shida yake ni chips kuku
Akachukua Boda Boda, cha kushangaza kafika pale nyambizi akiwa amemngangania kwa kumkumbatia yule Boda Boda, nyonyo zote zipo kwenye mgongo wa yule Boda Boda, kama vile wapo kwenye mieleka (wrestling) nilighafilika sana, na kumtaka arudi na huyo Boda Boda na hela silipi.
Uamuzi huo uliungwa mkono na bar mzima, isipokua akina dada wawili waliodai huenda alikua anaogopa kuanguka ndio maana akamkumbatia vile, hapo hapo akaingia mama mtu mzima na Boda akiwa amekaa upright bila kumuegemea Boda boda ambapo wadau wote pale walitoa mfano kwa jinsi alivyokaa kwa adabu, baada ya kuombwa sana nikamlipa Boda akaondoka.
Hivi inakuaje msichana unashindwa kuji support mwenyewe hadi ukamuegemee Boda Boda? Kwanini mnakua wavivu kiasi hicho?Hivi mmewahi kutuona sisi tunawakumbatia Boda Boda? Au kuwaegemea? Yaani nyonyo napopatia furaha mm tu ww unaenda kuziegemeza kwenye mgongo wa Boda Boda?
Tutakuja kulaumiana bure, ndio matokeo yake unastukia umeachwa bila sababu kumbe ni mambo kama haya.
Nonsense