Mpenzi wangu kanitumbua

Mpenzi wangu kanitumbua

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Wakuu kwema?

Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.

Leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wakati mimi nilikuwa namdispline tu ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
 
Wakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wkt me nilikua namdispline tu.ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
 
Wakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wkt me nilikua namdispline tu.ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
una miaka mingapi??
 
Wakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wkt me nilikua namdispline tu.ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
Mtumie msg kuwa umemnunulia Note 5 lakini kwa vile hakutaki basi utaitumia mwenyewe. Atakujibu fasta bebi hutaniwi kwanza kikofi chenyewe wala hakijauma. Tafuta box tupu la note 5 akija mpe mwambie na yeye hataniwi maana hata simu yenyewe hujanunua kweli. Na baada ya hapo kama wazungu wasemavyo u will live happily ever after....
 
Sasa unampigaje kofi mwanamke hujamuoa na wala hujamtolea mahari? Je angezima pale chini ungeiambia nini mahakama?

Acheni ujinga vijana. Mwanamke ambaye hujamtolea mahari wala hujamuoa huruhusiwi kumpiga wala kumpa amri yoyote. Yeye atafanya kwa kupenda yeye na sio shuruti. Eboooooo
 
Kwaiyo ultaka ushaur gan?wee n jibu lilioiva kabsa.
 
Sasa unampigaje kofi mwanamke hujamuoa na wala hujamtolea mahari? Je angezima pale chini ungeiambia nini mahakama?

Acheni ujinga vijana. Mwanamke ambaye
Unampiga kwani umemuoa


hujamtolea mahari wala hujamuoa huruhusiwi kumpiga wala kumpa amri yoyote. Yeye atafanya kwa kupenda yeye na sio shuruti. Eboooooo

Aliyeolewa mwenyewe hatakiwi kupigwa.
 
Una mambo ya mwaka 47 we uliona wapi mwanake anapigwa aiseeee kwali ww ni jipu na hakuna namna nyingine utumbuluwe tu na mm nasema utumbuluwe.
 
acha tuu nipite kimya kimya..
[emoji40] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom