Mpenzi wangu kaweka status WhatsApp ya kuachana na mtu ila si mimi

Mpenzi wangu kaweka status WhatsApp ya kuachana na mtu ila si mimi

Mitandao inaathiri sana mapenzi siku hizi. Just imagine status tu inaweza kufanya mtu akose usingizi...

Mkuu, sasa hivi watu wanalombana sana, sio me wala ke..ni mwendo wa kuwekana tu na hawajali kama wapo kwa mahusiano ya aina gani.
 
Ningekuwa wewe ningepiga kimya, maana inaonekana either ulimkuta ana mtu na ameamua kumpiga chini ubakie mwenyewe, ama alikuwa anakucheat ila tamemshinda, au ulikuwa option B kwake mwanaume alompenda kaachana naye
 
Hapo ushapigwa na kitu kizito,usimuhoji we pita kimya kimya kama unaenda kukojoa alafu ndukiii
 
Alisahau kukupiga tofali tu hapo ( kublock Usione hiyo status) kuna Jamaa kapigwa kibuti huko 😄😄😄
 
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

Sodoma ilikuwa Africa?? Ushoga unapigiwa chapua wapi na kutumika kama siraha ktk nchi kupata mikopo?? Pornography Movie Zimeasisiwa Wapi?? Kabisa la papa limepata kashfa Kubwa sana za ulawiti ni wapi au Afrika?? Club za kucheza uchi zimeasisiwa wapi?? Nguo zenye kuhamasisha zinaa zimeasisiwa wapi??


Nchi zinazoongiza Kwa ndoa kuvunjika ni wapi? Kama unaweza kuacha mke/mume kisa umepata Mali mpya kama si umalaya ni
Nini??


Watu wanasafiri kuja kutafuta beach boy Kwa maelfu, alafu unasema hawapendi Sex, na wametengeneza hadi Viagra.
 
Mitandao inaathiri sana mapenzi siku hizi. Just imagine status tu inaweza kufanya mtu akose usingizi...

Mkuu, sasa hivi watu wanalombana sana, sio me wala ke..ni mwendo wa kuwekana tu na hawajali kama wapo kwa mahusiano ya aina gani.
Pole mkuu "Eva" nae alikuwa na bustani nzur lakini bado hakuridhika akaingia mahusiano hadi na lucifer sembuse demu wako huyo
 
Mitandao inaathiri sana mapenzi siku hizi. Just imagine status tu inaweza kufanya mtu akose usingizi...

Mkuu, sasa hivi watu wanalombana sana, sio me wala ke..ni mwendo wa kuwekana tu na hawajali kama wapo kwa mahusiano ya aina gani.
Chukua demu mwingine mjipost status na mapozi Tata Afu usmpe block
 
Habari wakuu.

Nimeamka leo nakuta mpenzi wangu kaweka whatsapp wimbo wa Mboso uitwao over akisindikiza na maneno na dhihaka za emoj za kuonesha anamwambia mtu ambae sio mimi.

Kuna haja ya kuhoji?
The moment you stop caring is the moment when things get better.
 
Habari wakuu.

Nimeamka leo nakuta mpenzi wangu kaweka whatsapp wimbo wa Mboso uitwao over akisindikiza na maneno na dhihaka za emoj za kuonesha anamwambia mtu ambae sio mimi.

Kuna haja ya kuhoji?
Kama jimbo lilikua wazi ni SAWA Ila Kama ulikua hit & run kimbia ka babuu wa kitaa 🏃🏃🏃
 
Mitandao inaathiri sana mapenzi siku hizi. Just imagine status tu inaweza kufanya mtu akose usingizi...

Mkuu, sasa hivi watu wanalombana sana, sio me wala ke..ni mwendo wa kuwekana tu na hawajali kama wapo kwa mahusiano ya aina gani.
Kulombana ndio nini mkuu
 
Mwanaume unaliliaje mapenzi? mm ndo nakupa maisha alafu nikulilie? damn
 
Back
Top Bottom