Mpenzi wangu kila siku aniuliza eti ntampa nini?

Mpenzi wangu kila siku aniuliza eti ntampa nini?

mmmhhhh naona mie na wewe tunazungusha tangu siku zile..
hahahah lol
haya mie nimechoka kukimbia kwenye meza ya mviringo hahah lol
mimi ni dada...

Kwanza nashukuru kwa huruma yako!
*****THANKS*****
 
mmmhh haya bwana mie ni member wa FFU (Fanya Fujo Uone)
kwa hiyo sina dhambi yeyote..
endelea kunichuza tu hahahaha lol

Usije niingiza kwa mtego bure mieeee!
mumeo au jamaa yako aone hizo post...
Si ndio kuhisiwa maovu japo hujayawazia....
Simo jamaaaannnniii.
 
Usije niingiza kwa mtego bure mieeee!
mumeo au jamaa yako aone hizo post...
Si ndio kuhisiwa maovu japo hujayawazia....
Simo jamaaaannnniii.

election 2011..
usiniulize ndo nini
maana mi nishaa kuwa na wasiwasi weye lawyer:faint2:
 

mmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhh Bubu Ataka Kusema????????
user-online.png
 
mmmmhhh
babu kawa bubu
na bubu anataka kusema..
sasa bubu akianza kusema atanyamaza kweli?????lol

huyu mzuri..
lakini mie napenda basketball aliekuwa anapiga makofi...lol


Hahahahahahahah LOL! Huyu na yule aliyekuwa anapiga makofi ndiyo mtu yule yule AD!

 
Back
Top Bottom