mpenzi wangu mpya ana bonge la besi

pisces

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
240
Reaction score
61
nimeanza mahusiano na huyu dada kama mwezi mmoja sasa. Mwanzoni nilidhani labda ana mafua so nikahisi hali hii itakwisha soon,but naona kama ndivyo alivyo.
Je kunaa njia ya kumsaaidia japo ipungue kidogo maana nakua uncomfortable nnapoongea nae au nnapokula uroda anatoa miguno kama dume vile.
Ushauri wenu tafadhali.
 
hahha dah sipati picha miguno kama dume...kweli ata dushelele inasimama weye?
 
Ha hahahaha!!! Hahaha JF mna mbwembwe kweli yaani mpaka miguno base??????
 
Chukua computa yako instal qubase 5 baadaye ifungue hiyo program, then mchukue shem conect wire mpaka kwenye koromeo nadhani hapa ndio tatizo lilipo.sasa nenda kwenye import new sound file na mwambie aongee chochote software itadetect .sasa tafutabkitu kinachoitwa noise remover then aply,boresha zaidi bonyeza de cliper,de haserna baadaye tafuta plug in nzuri utakayomuwekea nachakua zile za female sound .basi hapo tatizo kwishnei ila usisahahu kusave changes
 
Aisee duni ina vituko sana!
We kweli haujapenda hapo!
Hebu mkubali alivyo

 
dah kazi ipo
 
Mwambie ale yai bichi, achanganye na asali nusu saa kabla hamjakutana.
 
Duh, aisee.. sasa watu nje wakisikia hiyo miguno si watadhani... yaani daahh..
 
Hahahahahaha nimecheka hadi hangover yangu imekwisha ILA pole sana mkuu
 

Nenda kwenye setting kisha bonyeza 'remove bass button'

kudadadaaaaaaaaaaaa haya majibu kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…