mpenzi wangu mpya ana bonge la besi

Hahahaha..ah JF wacha ntulie zangu mimi na kamvua haka wala sitoki hapa!!!

It's never boring down here....
 
huyo jike dume huyo.ila nimecheka kweli.ndivyo alivyo bwana kama unampenda,ikubali hali yake.ukiizoea,hiyo miguno yake haitokupa shida ukichanganya na yako,sipati picha.kama simba wa mwituni walioona kitoweo
 

Lazma apone hata kam n sugu
 
.... Duh... Ushauri wa wengi wenu naona manyunyu tu...
 
Vumilia maana ndivyo alivyoumbwa. Pia acha uoga wewe. Kasauti tu kanakutisha? Je angekuwa na ka-uume?
Nina wasiwasi na wewe. Pamoja na bezi yake mwonyeshe wewe ni mwanaume tena wa ukweli. Nahisi hujamnanii vizuri, maana ukimnanii vizuri hilo bezi litaisha tu automatically hata kama atakuwa kaumbiwa nalo.
 

hahahhahahahahhhahhahahahahaahhahahhaahahahhahahhhah mkuu angalia asije kudunda migumi hahahahahha
 
Jifanye kama chizi anza kuipenda hiyo sauti yake.
 
Hata Nungunungu ana mamishale kama michongoma lakini Nungunungu dume huwa anavumilia hivyo hivyo...
Sasa sembuse sauti tu mkuu!!! vumilia bhanaa
 

ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!
Stress zangu zote kwishney!!!!!!
Wacha Jf iitwe Jf!!!!
 
Nimekupata mkuu kisukari huyo anaweza kuwa ni true hermaphrodite mcheck vizuri unaweza ukakuta ki**** chake ni oversize!!
 
Last edited by a moderator:
asiyeumba haumbui wandugu, mpeni majibu amsaidie mwenzi wake kama inawezekana lakin sio kejeli hazijengi ila zinabomoa.
 
Equalizer yake naona ipo kwenye setting ya bass so chagua rock atakuwa poa.
 
Mpeleke THT akajifunze kuimba sauti ya 1 itapungua.
 
Siku ukimla uroda na kumfikisha kileleni huku akipiga kelele, piga ngumi ya kooni/koromelo ubadilishe setting ya sauti yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…