Dogo mbona unaishi kwa mashaka hivyo na huyo mpenzi wako,mara useme amekusevu kama Khalima,then umekuja na hili..duh!..then kama hizi sio hadithi basi sijui unataka usaidiwe nini na jf?...Stuka!
Hamna banaa! Atakuwa labda ndo anamuonaga njiani! Au anamuogopa ndo maana... Muulize kwa mahaba.