tawa driller
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 296
- 152
- Thread starter
-
- #41
Sawa mkuuOh! Pole sana. Uende Muhimbili ukamuone Dr wa magonjwa ya kina mama! Anaweza kupata ushauri mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akina mama ni wa kuheshimu sana, mimba huja na mengi na ni wakati ambapo baba unatakiwa kuonesha upendo wa hali ya juu. Hapo jitahidi kumpa huduma nzuri, jinyime jitoe as mimba inapoendelea kukua ndipo maumivu yanavyokua makali Kwa mama. Hosp watampima na kuona kama afya yake itahimili mimba hiyo au ipo safe site. Kutoa huwa ni option ya mwisho. Narudia, mama needs more care and counseling.
Akina mama ni wa kuheshimu sana, mimba huja na mengi na ni wakati ambapo baba unatakiwa kuonesha upendo wa hali ya juu. Hapo jitahidi kumpa huduma nzuri, jinyime jitoe as mimba inapoendelea kukua ndipo maumivu yanavyokua makali Kwa mama. Hosp watampima na kuona kama afya yake itahimili mimba hiyo au ipo safe site. Kutoa huwa ni option ya mwisho. Narudia, mama needs more care and counseling.
Sent using Jamii Forums mobile app