Mpenzi wangu ni mwathirika wa UKIMWI

Mpenzi wangu ni mwathirika wa UKIMWI

Fxon

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
7
Reaction score
7
Hellow guys kuna kitu nilikuwa nahitaji ushauli kidogo niko katika mahusiano na binti mmoja mdogo hatuna muda sana katika mahusiano yetu lakin ukweli nampenda sana na nahisi nae ananipenda tatizo ni Baada ya muda katika mahusiano Baada ya kuwa nataka tufanye mapenzi alikuwa akini fanyia visingizio simpati siku moja nikipata habari hapa nyumbani kuwa bint ni mwasilika wa UKIMWI tangu tangu akiwa mdogo ina maana ni amerithi kwa mama yake lakin mtu aliye niambia ni ndugu yake wa karibu sana kiasi nikamuamin lakin natamani kuthibitisha nashidwa nikimuuliza ni nini ana ni fichwa haniambii kitu

Wakuu nitumie ujuzi GANI kujua ukweli ? Msaada wenu please 🥺
 
Hellow guys kuna kitu nilikuwa nahitaji ushauli kidogo niko katika mahusiano na binti mmoja mdogo hatuna muda sana katika mahusiano yetu lakin ukweli nampenda sana na nahisi nae ananipenda tatizo ni Baada ya muda katika mahusiano Baada ya kuwa nataka tufanye mapenzi alikuwa akini fanyia visingizio simpati siku moja nikipata habari hapa nyumbani kuwa bint ni mwasilika wa UKIMWI tangu tangu akiwa mdogo ina maana ni amerithi kwa mama yake lakin mtu aliye niambia ni ndugu yake wa karibu sana kiasi nikamuamin lakin natamani kuthibitisha nashidwa nikimuuliza ni nini ana ni fichwa haniambii kitu

Wakuu nitumie ujuzi GANI kujua ukweli ? Msaada wenu please [emoji3064]
Sex naye bila Condom alafu utaamini kama ameathirika au lah
 
Hellow guys kuna kitu nilikuwa nahitaji ushauli kidogo niko katika mahusiano na binti mmoja mdogo hatuna muda sana katika mahusiano yetu lakin ukweli nampenda sana na nahisi nae ananipenda tatizo ni Baada ya muda katika mahusiano Baada ya kuwa nataka tufanye mapenzi alikuwa akini fanyia visingizio simpati siku moja nikipata habari hapa nyumbani kuwa bint ni mwasilika wa UKIMWI tangu tangu akiwa mdogo ina maana ni amerithi kwa mama yake lakin mtu aliye niambia ni ndugu yake wa karibu sana kiasi nikamuamin lakin natamani kuthibitisha nashidwa nikimuuliza ni nini ana ni fichwa haniambii kitu

Wakuu nitumie ujuzi GANI kujua ukweli ? Msaada wenu please 🥺

Muulize maza ako ushauri
 
Mpime mara mbili tatu ndo uthibitishe,

Ukiwa mjinga Story za wabongo zitakukosesha mke kizembe Sana.

Michezo ya kupakazia Watu ngoma IPO Sana mitaani, wengi wao huwa Ni wivu TU.

Mi mwnyw hiyo michezo nmecheza sana,
Tena kwa wahuni wawili tofauti

1. mhuni mmoja alikua ananisnitch kwa mamaJ kumbe behind the scene anamtaka, intelijensia yangu ilivobaini hivo nikamtengenezea tukio la kusudi mamaJ akaamini 100% Jamaa ana ngoma akaanza kumkwepa Kama ukoma na majibu ya karaha akampa uko waliko kua wanachati mafichoni jamaa Akibembeleza mzigo kwa kunisagia Mimi kunguni.

Alipozidisha bidii,
Nikatengeneza tukio jingine kumchafua kwa jamii nzima anakoishi, wakamini Jamaa ana ngoma na Yuko kwenye matumizi ya dozi.

Katakat mwaka Jana alilazwa anaumwa figo ila wengi waliamini ni ngoma, Wakajua ndo imetoka jamaa haponi.

Aliporuhusiwa kakonda anashangaa kwann walimzushia ana ngoma, na asijue behind the scene mimi ndo nmemchoma Kwa kisasi Cha kutaka kunisnitch kwa mamaJ wangu.
NB: mapenz namamaJ Yana Siri nyingi Sana nzito, Nafikiria siku niandike kitabu[emoji41]

2. Huyu wa pili ana account humu jf,
Siwez kumuelezea sana Ila nae nmemchafua kwa gharama kubwa Sana mpk ndoa yake imevunjika kwa mke kuamini jamaa ana Ukimwi, kumbe ni mchezo wa majibu feki kipind Cha mkewe kwenda kuanza kliniki.

Huyu Kuna kipind niliskia keshaanza dozi kabisa, Sijui ndo ile kujikatia tamaa hakutaka kuthibitisha au ndo ngoma alikua nayo kweli hata kabla sijamsingizia.

Huyu mwamba nna bifu nae kubwa Sana,
Tena bifu la kimya kimya na ntamnyoosha kisawa sawa mpk anaingia kaburini maana alishiriki kumuua mzaz wangu kwa tamaa yake ya fedha[emoji22]
 
Mpime mara mbili tatu ndo uthibitishe,

Ukiwa mjinga Story za wabongo zitakukosesha mke kizembe Sana.

Michezo ya kupakazia Watu ngoma IPO Sana mitaani, wengi wao huwa Ni wivu TU.

Mi mwnyw hiyo michezo nmecheza sana,
Tena kwa wahuni wawili tofauti

1. mhuni mmoja alikua ananisnitch kwa mamaJ kumbe behind the scene anamtaka, intelijensia yangu ilivobaini hivo nikamtengenezea tukio la kusudi mamaJ akaamini 100% Jamaa ana ngoma akaanza kumkwepa Kama ukoma na majibu ya karaha akampa uko waliko kua wanachati mafichoni jamaa Akibembeleza mzigo kwa kunisagia Mimi kunguni.

Alipozidisha bidii,
Nikatengeneza tukio jingine kumchafua kwa jamii nzima anakoishi, wakamini Jamaa ana ngoma na Yuko kwenye matumizi ya dozi.

Katakat mwaka Jana alilazwa anaumwa figo ila wengi waliamini ni ngoma, Wakajua ndo imetoka jamaa haponi.

Aliporuhusiwa kakonda anashangaa kwann walimzushia ana ngoma, na asijue behind the scene mimi ndo nmemchoma Kwa kisasi Cha kutaka kunisnitch kwa mamaJ wangu.
NB: mapenz namamaJ Yana Siri nyingi Sana nzito, Nafikiria siku niandike kitabu[emoji41]

2. Huyu wa pili ana account humu jf,
Siwez kumuelezea sana Ila nae nmemchafua kwa gharama kubwa Sana mpk ndoa yake imevunjika kwa mke kuamini jamaa ana Ukimwi, kumbe ni mchezo wa majibu feki kipind Cha mkewe kwenda kuanza kliniki.

Huyu Kuna kipind niliskia keshaanza dozi kabisa, Sijui ndo ile kujikatia tamaa hakutaka kuthibitisha au ndo ngoma alikua nayo kweli hata kabla sijamsingizia.

Huyu mwamba nna bifu nae kubwa Sana,
Tena bifu la kimya kimya na ntamnyoosha kisawa sawa mpk anaingia kaburini maana alishiriki kumuua mzaz wangu kwa tamaa yake ya fedha[emoji22]
Asee, unyama unyamani ila nakushauri usiweke kinyongo na mtu.
 
Hellow guys kuna kitu nilikuwa nahitaji ushauli kidogo niko katika mahusiano na binti mmoja mdogo hatuna muda sana katika mahusiano yetu lakin ukweli nampenda sana na nahisi nae ananipenda tatizo ni Baada ya muda katika mahusiano Baada ya kuwa nataka tufanye mapenzi alikuwa akini fanyia visingizio simpati siku moja nikipata habari hapa nyumbani kuwa bint ni mwasilika wa UKIMWI tangu tangu akiwa mdogo ina maana ni amerithi kwa mama yake lakin mtu aliye niambia ni ndugu yake wa karibu sana kiasi nikamuamin lakin natamani kuthibitisha nashidwa nikimuuliza ni nini ana ni fichwa haniambii kitu

Wakuu nitumie ujuzi GANI kujua ukweli ? Msaada wenu please 🥺
Kwa huu uandishi inaonekana wewe ndie mwenye UKIMWI

asilika❌ athirika✅
 
Mpime mara mbili tatu ndo uthibitishe,

Ukiwa mjinga Story za wabongo zitakukosesha mke kizembe Sana.

Michezo ya kupakazia Watu ngoma IPO Sana mitaani, wengi wao huwa Ni wivu TU.

Mi mwnyw hiyo michezo nmecheza sana,
Tena kwa wahuni wawili tofauti

1. mhuni mmoja alikua ananisnitch kwa mamaJ kumbe behind the scene anamtaka, intelijensia yangu ilivobaini hivo nikamtengenezea tukio la kusudi mamaJ akaamini 100% Jamaa ana ngoma akaanza kumkwepa Kama ukoma na majibu ya karaha akampa uko waliko kua wanachati mafichoni jamaa Akibembeleza mzigo kwa kunisagia Mimi kunguni.

Alipozidisha bidii,
Nikatengeneza tukio jingine kumchafua kwa jamii nzima anakoishi, wakamini Jamaa ana ngoma na Yuko kwenye matumizi ya dozi.

Katakat mwaka Jana alilazwa anaumwa figo ila wengi waliamini ni ngoma, Wakajua ndo imetoka jamaa haponi
"ishini na wake zenu kwa akili"

umekaribia kutimiza hilo andiko! Ila ondoa chuki, jifunze kusahau
 
Wanaomjua wamekupa ushauri umeukataa unakuja kutuuliza sisi ambao hatumjui we unakandwa nini
 
Mpime mara mbili tatu ndo uthibitishe,

Ukiwa mjinga Story za wabongo zitakukosesha mke kizembe Sana.

Michezo ya kupakazia Watu ngoma IPO Sana mitaani, wengi wao huwa Ni wivu TU.

Mi mwnyw hiyo michezo nmecheza sana,
Tena kwa wahuni wawili tofauti

1. mhuni mmoja alikua ananisnitch kwa mamaJ kumbe behind the scene anamtaka, intelijensia yangu ilivobaini hivo nikamtengenezea tukio la kusudi mamaJ akaamini 100% Jamaa ana ngoma akaanza kumkwepa Kama ukoma na majibu ya karaha akampa uko waliko kua wanachati mafichoni jamaa Akibembeleza mzigo kwa kunisagia Mimi kunguni.

Alipozidisha bidii,
Nikatengeneza tukio jingine kumchafua kwa jamii nzima anakoishi, wakamini Jamaa ana ngoma na Yuko kwenye matumizi ya dozi.

Katakat mwaka Jana alilazwa anaumwa figo ila wengi waliamini ni ngoma, Wakajua ndo imetoka jamaa haponi.

Aliporuhusiwa kakonda anashangaa kwann walimzushia ana ngoma, na asijue behind the scene mimi ndo nmemchoma Kwa kisasi Cha kutaka kunisnitch kwa mamaJ wangu.
NB: mapenz namamaJ Yana Siri nyingi Sana nzito, Nafikiria siku niandike kitabu[emoji41]

2. Huyu wa pili ana account humu jf,
Siwez kumuelezea sana Ila nae nmemchafua kwa gharama kubwa Sana mpk ndoa yake imevunjika kwa mke kuamini jamaa ana Ukimwi, kumbe ni mchezo wa majibu feki kipind Cha mkewe kwenda kuanza kliniki.

Huyu Kuna kipind niliskia keshaanza dozi kabisa, Sijui ndo ile kujikatia tamaa hakutaka kuthibitisha au ndo ngoma alikua nayo kweli hata kabla sijamsingizia.

Huyu mwamba nna bifu nae kubwa Sana,
Tena bifu la kimya kimya na ntamnyoosha kisawa sawa mpk anaingia kaburini maana alishiriki kumuua mzaz wangu kwa tamaa yake ya fedha[emoji22]
Duh, mwamba una hekaheka nyingi sana. Ila hiyo story ya jama wa jf sijaielewa bado.
 
Back
Top Bottom