Mpenzi wangu ni mwathirika wa UKIMWI

Mpenzi wangu ni mwathirika wa UKIMWI

Usiache hisia zitawale akili zako dogo. Tumia akili za kuchuja na kujua athari za mahusiano yenu kwa sasa na baadae.

Ukipata jibu fanya maamuzi
 
Hata mm niko kwenye hii situation

Acha tu
Zaid ya kukushauri kuachana nae
Hakuna USHAUR wa shortcut juu ya Hilo mkuu, hata ambulance inakimbia uku inalia.

Haina namna,
kubali matokeo kuachana nae Kama kweli una uchungu na maisha yako na future yako
 
Ni story ndefu kdg mkuu,
bahat mbaya mhusika mwnyw yupo humu
IPO siku nitaleta Uzi wake humu[emoji4]
Aliyehusika na mauaji ya mzazi wako yupo humu? How? Embu elezea mzee, halafu unajua kusimulia so lazima itakuwa na msisimko. Pole kwa uliyopitia
 
Aliyehusika na mauaji ya mzazi wako yupo humu? How? Embu elezea mzee, halafu unajua kusimulia so lazima itakuwa na msisimko. Pole kwa uliyopitia
Hata nikiisimulia lazima itakua na codes kdg nisiharibu Jambo langu maana mhusika bado sijamalizana nae vizur[emoji4]
 
Zaid ya kukushauri kuachana nae
Hakuna USHAUR wa shortcut juu ya Hilo mkuu, hata ambulance inakimbia uku inalia.

Haina namna,
kubali matokeo kuachana nae Kama kweli una uchungu na maisha yako na future yako
Nilimeondoka mdogo mdogo , tuna siku mbili sasa hatuna mawasiliano

Mzuri , yuko fresh kichwan , sijui alijikorogaje

Anyway, matatizo tumeumbiwa wanadamu
 
Back
Top Bottom