Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhhKumbe ni wavulana na wasichana!!!
Mkuu, wakiwa wanawake hayo yote hutoyaona kabisaaa!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ahahahaaaaaa
Leo ni zamu ya wasichana bwana, bora wametupumzisha sie
Eti eehh!!Na kweli ngoja tufatilie mpambano wa wasichana na wavulana.
Mwambie awahi darasani kabla mwalimu mkuu sijafikaKumbe ni wavulana na wasichana!!!
Mkuu, wakiwa wanawake hayo yote hutoyaona kabisaaa!!!
Mvulana na msichana wamesalitiana. Mbona unakuwa mgumu hivi kuelewa?Sijaelewa somo bado,naomba summary
Jamani @aspin sielewi naona maluweluwe. No kusalitiana au anamponda mtu?? Nimeshindwa hata kumalizia,sielewiiii. Niadithie basiiiMvulana na msichana wamesalitiana. Mbona unakuwa mgumu hivi kuelewa?
Mi nlivoona anazungumziwa msichana.... nikaishia hapohapo. Unajua kesho shule zinafunguliwa... ngoja tubakie wakongwe labda tunaweza "kueleana"Jamani @aspin sielewi naona maluweluwe. No kusalitiana au anamponda mtu?? Nimeshindwa hata kumalizia,sielewiiii. Niadithie basiii
Karibu JiraniMmmhh
Ahsante kwa ujumbe jirani
Amekusikia jamaniMwambie awahi darasani kabla mwalimu mkuu sijafika
Mie sijamboAhsante
Uhali gani?