Mpenzi wangu nilikuwa nampenda tena saaana ila leo hii kanisaliti

Una hasira au frustration ya kusalitiwa maana naona kichwa cha habari na maudhui haviniendani kabisa
 
Mi nlivoona anazungumziwa msichana.... nikaishia hapohapo. Unajua kesho shule zinafunguliwa... ngoja tubakie wakongwe labda tunaweza "kueleana"

Hilo la kukuhadithia hebu njoo hapa Makuti bar Bunju nikusimulie mwanzo mwisho.
Haupo na naniliu hapo makuti?
 
Ulchokiandikaaa hakiendani na tittle,,,take care
 
Maandishi tu yanaakisi ujinga na umri wako
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…