Naomba namba yakoNampenda jamaniiii
100% hana uhusiano na hao watu.Kwa hiyo unataka kuniambia hatoki na huyo demu
So anafanya hivyo kuniumiza ili niwe na wivu naye au vipi maana simuelewi Kila saa yupo na huyo demu na demu mwenyewe anapenda kumtega jamaa na mavazi pia na mikao ya kuonesha sehemu zake za mwiliAngalia faida za muda mrefu kwa lolote unaloliendea
Long run benefits
Maana MTU amekutaftia kazi hiyo Kazi inakupa ,hela unatimiza mipango na unaishi maisha yako safi .
Sasa kwa hilo tu inaonesha MTU wako sio mbinafsi ,anataka usonge mbele.
Kuhusu kumuumiza ukiwa na lengo hilo utaumia wewe na sio MTU wako.
Ufanye nini?
Ukimtazama MTU wako yaweza kuwa hata hana lengo la kukuumiza Ila ni attention seeker so usimuhukumu Ila nenda naye taratibu . asipobadilika badilika wewe.
Jiepushe na negativity sehemu yoyote uliyopo Katika mabaya mengi wewe tazama mazuri.
Kwa nn anafanya hivyo ndo nataka nijue nifanye maamuzi100% hana uhusiano na hao watu.
Ni vile Yuko huru kufanya hivyo mbele yako.
So anafanya hivyo kuniumiza ili niwe na wivu naye au vipi maana simuelewi Kila saa yupo na huyo demu na demu mwenyewe anapenda kumtega jamaa na mavazi pia na mikao ya kuonesha sehemu zake za mwili
dawa ndogo nawe anza kuflirt na wanaumeHello jf natumai mko poa...Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza Sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa
Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi Yao kitengo alichopo nikaanza kazi
Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke Fulani hapa kazini nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke
Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani
Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nn?
Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi
Ushauri tafadhalini nitumie njia gani na Mimi nimuumize aache kunisumbua
Hapo achague kusuka ama kunyoaUnataka umuelewe vipi zaidi ya hapo? Ndio ushamuelewa kua hasomeki na hajitambui, either chagua kusuka au kunyoa.!
Ndio aje huenda ww ndo chaguo sahihi 😂Achana naye njoo kwangu
Duuh utaliwa very soon muda utaongea
Ni mpzKumbe ni mpenzi wako nkajua mume
Ni mpz
Alikuwa mpenzi wa simba mwenzio! Azizi KiTatizo nyie viumbe mnakuza sana vitu, hata haya unayosema inaweza kuwa sio kweli. Tazama mimi mtu alitaka kunywa sumu kisa kakuta missed call 2 za Lilian, hata hamjui
Basi ni wivu unakusumbua, kosa kubwa litakalokugharimu ni kutaka kufanya kitu ili umuumize, amini kwamba hatoumia na utazidi kuumia mara dufu.Nampenda jamaniiii