Kweli wewe depression 🤣🤣Naijua hiyo
Mimi nilikuwa na wangu akaolewa mwaka 2018 na mjinga mmoja mswahili sasa hivi ni mpishi kwa wachina na amezaa mtoto wa kichina 😄😄😄Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
😅😅😅Duh hii si ilimtokea jamaa juzi juzi jukwaani hapa tumempa moyo sana wew nae umeyavaaAlikua chuo, kamaliza tu chuo ndio imetokea hivo, ata graduu bado ni November,
Hii ni kweli ndiyo maana Mimi sipendi ukaribu wowote hata mawasiliano na mwanamke tuliyeachana.Acha nikuibie siri, tunaumia pale tunamkuta mtu mlie achana kanona na kanawiri halafu hana stress🤣🤣🤣
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.