Nilitaka bubeti mechi ya yanga ashinde HT/FT ilikuwa na faida 48% nikadeposit booster mpaka muda huu haijaingia.
nilikuwa napata hela ya bia mwezi.
nawapigia kwa namba iliyodeposit nakatiwa mwishoni. Napiga kwa lipa namba naambiwa nipige kwa namba husika.