Mpesa inakataa kutuma pesa tigo pesa, TCRA waangalieni hawa voda.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Siku nyingi. Nikijaribu kutuma pesa kutoka Mpesa kwenda Tigopesa inakataa. Inarudiarudia kusema niweke namba ya siri hata mara kumi.

Nahisi Voda wanafanya hili makusudi, labda wana bifu na Tigo. Maana hata kununua airtime tigo kwa kutumia Mpesa haiwezekani.

Kama wana bifu, basi linatukwamisha sisi wateja na ni hujuma. TCRA wachunguzeni hawa jamaa.
 
Umekurupuka kuwatuhumu hujuma. Mie mbona imakubali tu kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…