Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 932
- 525
Kwa Tanzania ukiona umekosea na haphapo unapiga wanaizuiaJuzi nilikuwa namtumia rafiki yangu hela uko Tz na mpesa bahati mbaya nikakosea nambari moja ya mwisho,nikawapigia safaricom wanirejeshee hiyo hela kwangu,haya sasa safaricom hawawezi nirejeshea hela manake uyo mteja wa vodacom uko tanzania asha toa hela kitamboo.. ni njia gani mtu uko Tz utumia kukabiliana na hawa wezi, cha kushangaza aliye toa ni mwanamke na sasa kazima simu yake kitambo.
pole sana kaka!Juzi nilikuwa namtumia rafiki yangu hela uko Tz na mpesa bahati mbaya nikakosea nambari moja ya mwisho,nikawapigia safaricom wanirejeshee hiyo hela kwangu,haya sasa safaricom hawawezi nirejeshea hela manake uyo mteja wa vodacom uko tanzania asha toa hela kitamboo.. ni njia gani mtu uko Tz utumia kukabiliana na hawa wezi, cha kushangaza aliye toa ni mwanamke na sasa kazima simu yake kitambo.
kweli kabisa, wanafaa pia hela ikitumwa angalau ichukue ata dakika 30 kabla kumfikia anayepokea. kuwa makini sana ukituma hela, nimejifunza sasa. nimepoteza laki kadhaa za Tz.Kwa Tanzania ukiona umekosea na haphapo unapiga wanaizuia
Mimi nami nimekuja Kenya Leo ,so nataka nitume pesa flani Tanzania kwa mpesa nitakuwa makini sana
Ila safaricom inabidi wawe makini pia waweke option ya jina la unayemtumia kabla ya Ku confirm
Asante, makosa ni yangu manake sikuwa makini.pole sana kaka!
Safaricom wanaeka detail zote za mtu ukimtumia hela. Kenya huwezi nunua line rejareja bila I.D au passport. PIA ukimtumia mtu pesa kuna prompt ya delay ya kitu sekunde ishirini za kusimamisha shughuli yenyewe kama umekosea. Ukishindwa na hayo yote pesa ziende unatuma hiyo text ya Mpesa kwa 456 hapo hata pesa ziwe zimeingia kwenye simu ya mtu hawezi zitoa. Zinakuwa freezed kwa simu.Kwa Tanzania ukiona umekosea na haphapo unapiga wanaizuia
Mimi nami nimekuja Kenya Leo ,so nataka nitume pesa flani Tanzania kwa mpesa nitakuwa makini sana
Ila safari com inabidi wawe makini pia waweke option ya jina la unayemtumia kabla ya Ku confirm
Dk.30 seriously? Mtu amekaa anasubiria pesa kwa wakala au alipie huduma hospitali then aisubirie pesa kwa 30minutes???kweli kabisa, wanafaa pia hela ikitumwa angalau ichukue ata dakika 30 kabla kumfikia anayepokea. kuwa makini sana ukituma hela, nimejifunza sasa. nimepoteza laki kadhaa za Tz.
Pole sana huku Tanzania saiv hali ni ngumu kuwa makini na hela zako.Juzi nilikuwa namtumia rafiki yangu hela uko Tz na mpesa bahati mbaya nikakosea nambari moja ya mwisho,nikawapigia safaricom wanirejeshee hiyo hela kwangu,haya sasa safaricom hawawezi nirejeshea hela manake uyo mteja wa vodacom uko tanzania asha toa hela kitamboo.. ni njia gani mtu uko Tz utumia kukabiliana na hawa wezi, cha kushangaza aliye toa ni mwanamke na sasa kazima simu yake kitambo.
jemeni ukipewa cheki si unasubiri ata siku 5 kwa benki, mbona mtu hawezi subiri dakika 30 pekee??Dk.30 seriously? Mtu amekaa anasubiria pesa kwa wakala au alipie huduma hospitali then aisubirie pesa kwa 30minutes???
Vodacom wanaweza kum-track piga customer careAsante, makosa ni yangu manake sikuwa makini.
Electronic money tunategemea iwe mbadala wa hayo makaratasi sio kuanza kupotezeana muda tena cha msingi wawe makini kurejesha pesa za watu pindi zinapohitajika kwakua zimetumwa kimakosa.jemeni ukipewa cheki si unasubiri ata siku 5 kwa benki, mbona mtu hawezi subiri dakika 30 pekee??
Vodacom wanaweza kum-track piga customer care
Kwani nyie mpesa yenu haiwapei jina la unakotuma, to confirm before hujatuma.Juzi nilikuwa namtumia rafiki yangu hela uko Tz na mpesa bahati mbaya nikakosea nambari moja ya mwisho,nikawapigia safaricom wanirejeshee hiyo hela kwangu,haya sasa safaricom hawawezi nirejeshea hela manake uyo mteja wa vodacom uko tanzania asha toa hela kitamboo.. ni njia gani mtu uko Tz utumia kukabiliana na hawa wezi, cha kushangaza aliye toa ni mwanamke na sasa kazima simu yake kitambo.
lakini line ipo registered!Kama kazima simu hawana la kufanya, Let me not go into details coz nitakuwa nahamasishaa utapeli
L
A
lakini line ipo registered!
Hahaha. 😀 Jamaa yetu kapoteza hela bana acha mzaha. Ila p#ssy ina nguvu sana zaidi ya sheitwan! 🙂next time ukitongoza mrembo mitandaoni,muulize hata angalau jina lake halisi lililoko kwenye kitambulisho kabla ya kumtumia tikiti. kuwa careful next time
acha upumba bana, hizi ni hela nilikuwa namrejeshea rafiki yangu alikuwa ananidainext time ukitongoza mrembo mitandaoni,muulize hata angalau jina lake halisi lililoko kwenye kitambulisho kabla ya kumtumia tikiti. kuwa careful next time