Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 932
- 525
Juzi nilikuwa namtumia rafiki yangu hela uko Tz na mpesa bahati mbaya nikakosea nambari moja ya mwisho,nikawapigia safaricom wanirejeshee hiyo hela kwangu,haya sasa safaricom hawawezi nirejeshea hela manake uyo mteja wa vodacom uko tanzania asha toa hela kitamboo.. ni njia gani mtu uko Tz utumia kukabiliana na hawa wezi, cha kushangaza aliye toa ni mwanamke na sasa kazima simu yake kitambo.