Mpesa, Tigopesa et al, ni benki?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Hivi hizi mobile money platforms ni benki? Zinafanya shughuli zote za kibenki. Zinakopesha, zinatunza pesa na kuwezesha uhamishaji wa pesa. Je, na zenyewe ni benki?

Ikitokea zimeanguka itakuwaje pesa za waliotunza? Mikopo wanayotoa ina bima?
 
Hivi hizi mobile money platforms ni benki? Zinafanya shughuli zote za kibenki. Zinakopesha, zinatunza pesa na kuwezesha uhamishaji wa pesa. Je na zenyewe ni benki? Ikitokea zimeanguka itakuwaje pesa za waliotunza? Mikopo wanayotoa ina bima?
Siyo benki hizo ndio kuna kikomo cha akiba huwezi kuweza zaidi ya million 10. Ila benki hakuna limit
 
Mewaza siku akitokea Raisi akaamua kuzuia hii mifumo ka bureau de change zilivyoratibiwa upyaaa italeta changamoto sanaa

Hivi karibuni bei ya dola imeanza kupanda inaonesha nguvu ya hela yetu imepunguaa kiasi
 
Itakuwa mifumo yao imekonektiwa mpaka benki kuu, hivyo hata ikianguka utaratibu utafuatwa ili wateja wapate hela zao kama ilivyo kwa benki ikianguka.

Hiyo mitandao sidhani kama inakopesha bila baraka za benki kuu, na ndio maana hata ukitumiwa hela kwa simu toka nje ya nchi, naskia benki kuu wanaiona pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…