Kwa kuongezea...na ATCL wanachukua Wachina...hebu ngoja nianze kujifunza kichina mie!!!!
wachina noma bwana.
tuna mengi ya kujifunza kutoka kwao.
mojawapo ni uchapaj kaz. kuna jamaa aliniambia yeye alipokuwa USA ilikuwa kama wao (mablack) ni kama washindan wa wachina kufanya kaz kama za kubeba boksi. lakin akaniambia wachina walikuwa wanawashinda weus. wanafanya kaz zaid na haraka na hata kwa hela ndogo kaz inafanywa.
na serikali ya marekan yenyewe imekopa dola kibao kutoka china. china wanakuja na wako juu.
na kuna ka nchi huko karibu na bonden nasikia wachina wako mpaka vijijin wanalima na kuuza mboga. masupermarket mengi ni ya kwao. wenyeji wamebak wateja na wanalialia na kushangaa kwamba sijui itakuwaje siku za mbele. business nyingi zimeshikwa au zinaelekea kushikwa na wagen (wachina).
kuna uwekezaj mwingine unafaa kufanywa na wageni, kama vile kufungua viwanda na nk. ambavyo vitalipa kodi na kuajiri watz.
lakin angalia, inavyoelekea wachina wengine wanaweza kuja na kuanzisha biashara ya teks. kwa kuwa anamtaj biashara itakuwa kubwa na teks za wabongo zitakosa soko na hivyo zitapaki. kipato cha mbongo kitapungua.
baada ya muda wachina wengine wanaweza kuja na biashara ingine na kutokana na uwezo mzur katka business wanaweza kufanya wabongo biashara zao zisimame.
yap. tutafanyaje katka hali kama hiyo?
cha kwanza lazima tuwababe. kama wanaanzisha kampun wasiite wachina wenzao kuja kufanya kaz kama za udereva, utingo. kaz ambazo wapo watz wanaoweza kuzifanya.
lakin rushwa imejaa, tunahandle vip wagen wanaokuja kuomba uraia? USA wanafanyaje? kenya wanafanyaje? uchina wanafanyaje? ni vigumu au ni rahis kias gani kupata uraia wa tz?
na mgeni ni ruksa kufanya biashara yeyote? na ya mtaj wowote?
tuna sheria na taratibu zetu. ni muhimu kuziheshimu. na sheria ni muhimu zikienda na wakat. lakin pia sheria na taratibu tulizonazo huenda hazifai