Uchaguzi 2020 Mpiga kura aliyehama mahali alipojiandikisha atatakiwa kusafiri kwenda kituoni alipojiandikisha ili aweze kupiga kura

Hata kura ya Rais siwezi kupiga?? Mbona inafahamika kuwa ukihama eneo na bila kuhakiki utaweza kumpigia Raisi tu lakini Mbunge na diwani hutaweza.

Hii sheria imebadilika lini?
 
Hata kura ya Raisi siwezi kupiga?? Mbona inafahamika kuwa ukihama eneo na bila kuhakiki utaweza kumpigia Raisi tu lakini Mbunge na diwani hutaweza.
Hii sheria imebadilika lini??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ndio nashangaa hapa [emoji15] Maana mimi nimehama mkoa kabisa na nauli kwenda na kurudi ni 150k! Yaani hata Rais siwezi mpigia kura kwa maana hiyo au niaje..?
 
Hakika ccm inambinu 1000,hiyo ni moja tu,bado 999[emoji23][emoji23][emoji23],watatosha wanaotaka kushindana na hii taasisi kubwa na bora barani afrika
Sijaona kinachokufurahisha.
 
Halafu usifananishe mpira na mambo yenu ya upuuzi. Huku hakuna kuibiana magoli.

Tutake radhi mashabiki wa mpira kwa kututolea mfano kwamba mpira sio kitu cha muhimu. Hayo mambo ndio sio ya muhimu.

Hovyo kabisa, kwani ukishindwa kutoa mfano mwingine??
 
Hiyo sample anayoitumia kujustify statement yake bado ni ndogo sana sana hata kama ule uwanja ungejaa watu wote waliotoka mkoani,bado ni 0.001 kwa population nzima..suala la kupiga kura ni suala nyeti mno
 
Wanajua vijana wengi mnahama kutafuta maisha sio kama wazee. Wazee karibia wote wanaipenda ccm wengi kichwani hawana uwezo mkubwa wa kufikiri so chama cha majabambazi kimewabrainwash wote wanamuona jiwe ka mungu flani lazima kura zote wampe.

Nyie vijana kelele nyingi ila ikifika muda wa kupiga kura hata hiyo nafasi hamtopata 😂 check mate. Mbinu za hawa jamaa kiboko sana
 
Habari za muda huu wadau wote wa Jf na wapenda mabadiliko wenzangu.

On the point.
Ni mkazi wa Dar es salaam nimejiandikisha kupiga Kura Dar es salaam , Sasaivi nipo Mkoani Kikazi na kuna kila Dalili za tarehe 28/10/2020 kunikutia Bado nikiwa huku huku mkoani.
Swali langu je nitaruhusiwa kupiga kura ya Raisi tu nikiwa huku?

Muongozo na Wajuzi waje kunipa ufafanuzi tafadhali.
 
Yaani hapa nipo mkoa,,,,,

Nilipoandikishia kitambulisho cha kupigia kura ni mkoa mwingine mbali sana,,,

Na alfajiri ya leo tunapiga kura,,.

Swali,,,, niende na kikadi hiki ntaruhusiwa kupiga kura au nilale usingizi tu.

NB: kikadi cha kupigia kura ninacho.
 
Tupewe ruhusa makazini wiki mbili, Barabara mbovu hizi huko Songea tutafika baada ya mwezi tunaoishi Dar es salaam.
 
Halafu bado utasikia mtu ameshindwa uchaguzi kwa zaidi ya 98%
 
JPM ndio rais.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…