Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa mkuu, halafu h jamii c ipo tatu.? Chui, chui milia na nyingine ni ipi.?Wote wanaitwa chui mkuu tofauti ni sehemu ndogo tu
#1 leopard=chui
#2 tiger=chui milia
Ila wote ni chui kwa kiswahili wanatofautiana milia(mistari ya mwilini) tu ioo
Original hakuipiga yeye , ni Keny aligonga Ila Kwa mtazamo wangu Remix video ni Kali kuliko original gat ma point 🙏kumbe na orginal kaipiga yeye, basi ameshaiva. tuseme Next level ina director wa kuaminika.
Nmejaa tele mzee babaRafiki ulipotelea wapi
Jamaa amekushika af unakubali mkuu vip bhana🙏 🙏 🙏 ❣️
True thatOriginal hakuipiga Ila remix video ni Kali kuliko original gat ma point 🙏
Ukweli ni upi mzee baba.?Jamaa amekushika af unakubali mkuu vip bhana
Ukweli ni upi mzee baba.?
Yah mzee ht mm najua hvy.Ni jamii moja ya paka Ila Wana uwezo na sifa tofaut , na wanaishi mazingira tofaut.. Sawa Sawa na paka wa kawaida wa nyumbani na Caracaras ( Paka mwitu) au Cobra na Koboko ...... Whatever the case tiger na Leopard ni viumbe tofaut na hawawez kutengeneza group la kuishi pamoja ....
Nyingine Jaguar.Sawa sawa mkuu, halafu h jamii c ipo tatu.? Chui, chui milia na nyingine ni ipi.?
Ni jamii moja ya paka Ila Wana uwezo na sifa tofaut , na wanaishi mazingira tofaut.. Sawa Sawa na paka wa kawaida wa nyumbani na Caracaras ( Paka mwitu) au Cobra na Koboko ...... Whatever the case tiger na Leopard ni viumbe tofaut na hawawez kutengeneza group la kuishi pamoja ....
Wote wanaitwa chui mkuu tofauti ni sehemu ndogo tu
#1 leopard=chui
#2 tiger=chui milia
Ila wote ni chui kwa kiswahili wanatofautiana milia(mistari ya mwilini) tu ioo
Umetoka nje ya kinachozungumziwa, hao wote kwakiswahili wanaitwa Chui tofauti neno milia tu ila halitumiki sana linatumika pale tu unapowaweka pamoja.Ni jamii moja ya paka Ila Wana uwezo na sifa tofaut , na wanaishi mazingira tofaut.. Sawa Sawa na paka wa kawaida wa nyumbani na Caracaras ( Paka mwitu) au Cobra na Koboko ...... Whatever the case tiger na Leopard ni viumbe tofaut na hawawez kutengeneza group la kuishi pamoja ....
Hii kitu ndio huwa inawafanya wcb kuwa tofauti kidogo na baadhi ya wasanii wengine ukitoa kwamba wO kwenye investment tayari angalau wana jiweza..Huu mzima?
Kijana ambaye huonekana karibu sana na @rayvanny na mara nyingine huonekana akimpiga picha erismzava ameeleza ukaribu wake na Rayvanny na kueleza nafasi yake kwa @rayvanny na pia nafasi yake kwenye labo mpya ya Next Level Music
![]()
Mzava ameelza kuwa yeye chochote atakachoagizwa na rayvanny atafanya na mara nyingine hata wakisafiri kwenda nje huwa ana beba mpaka mabegi ya Rayvanny.
Nafasi ya @erismzava kwa sasa ni tofauti sana kwani kwenye lebo hiyo mpya yeyey ni mmoja ya watu ambao watatumika kuchagua na kuchuja watu watakaofanya kazi kwenye lebo hiyo.
Pia erismzava ameeleza namna alivyowasaidia vijana wengi kutokea Wasafi media na hata mpiga picha wa Harmonize Jabulan jinsi alivyomfundisha kazi.
Uliandika sahihiMkuu nilijua tu utanitetea