Mpigie kura Teddy Kalonga Spike TV

Mpigie kura Teddy Kalonga Spike TV

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Anawania kuwa mtangazaji wa SPIKE TV huko majuu.
i653_lol.jpg


oooooh yeah
i654_gggg.jpg


Picha nyingine za kuvutia ziko http://www.spike.com/photos/teddy-kalonga/33482/st/69309?slideshow=true&autoplay=true

Mpigieni kura http://www.spike.com/spike-girl/500960
 
Yaani wewe yoyo vitu vizuri vyote uko connected. By the way, how is Lisa!!!

Ngoja nimpe kura yangu mkuu
 
Yaani wewe yoyo vitu vizuri vyote uko connected. By the way, how is Lisa!!!

Ngoja nimpe kura yangu mkuu
ooh man she's damn fine and sweet as usual.....
 
Mpwa hivi Ngabu kamwona kweli huyu?
Dah mtoto yupo moto moto lakini naona kitu kama kimefichama vile.
 
Mpwa hivi Ngabu kamwona kweli huyu?
Dah mtoto yupo moto moto lakini naona kitu kama kimefichama vile.
kitu kipi tena mpwa?
NN ana mijimama yake ile XXXL
 
Sina mda huo mkuu, mii nilikuwa napita tu kwa bahati mbaya nikajikuta nime stuck hapa ghafla.Mkuu umeniharibia siku yangu leo.
 
By the way Yo Yo ni Mtz huyo niliyempigia kura. And what is she up to? Sory coz i just voted because she is so hot and forget to ask about the deal.
 
Sina mda huo mkuu, mii nilikuwa napita tu kwa bahati mbaya nikajikuta nime stuck hapa ghafla.Mkuu umeniharibia siku yangu leo.
bwa ha ha ha angalia mkuu usije shuka mnazi asubuhi hii.....
 
Huyu mdada hata tumpigie kura vipi hawezi fika popote,maana kuna vifaa kule vikali zaidi yake......na kulaumu sana Yo Yo umeniharibia ustaarabu wa siku yangu leo. Na kukemea kwa jina lako na usindwe kabisa kuharibu siku za watu.........Amen
 
Hapa anajitangazia biashara au vipi wajameni??? Nidhamu yetu ya kiafrika inatokomea!!! Half naked!!! Hivi wazazi wake wako hai?? Wanafurahia hizi pics and many more alizozianika katika face book!!! Anyway, ambao hamjaoa kazi ni kwenu kumpata a descent mother four your kids. Ni hatari sana kwa watoto wetu ambao hawajaoa na wanaokua!!! Anyway, I am old fashioned!!!! Talking of years 1947!!! Soorrry.
 
ambao hamjaoa kazi ni kwenu kumpata a descent mother four your kids. Ni hatari sana kwa watoto wetu ambao hawajaoa na wanaokua!!!
maneno ya busara mkuu.....
 
mh!jamani nina haki ya kuhema kwani hawa watoto wa siku hizi wanatufanya hata hizi funga zetu zinazotaka kuanza zisikubaliwe,anyway mtoto amaumbika na she's so sex!big up kwa anakokota mzigo anajua kutunza
 
Back
Top Bottom