Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
wazazi wake walishakufa, na wa mwisho ilikuwa ni baba yake last yr, lakini hata kama wangekuwepo, hao wazee wa kisukuma walishachanganyikiwa na visenti vya binti yao alivyokuwa anawatumia, maana mzee wake nae uzee ulimwisha na kuanza kujichanganya kunakoHapa anajitangazia biashara au vipi wajameni??? Nidhamu yetu ya kiafrika inatokomea!!! Half naked!!! Hivi wazazi wake wako hai?? Wanafurahia hizi pics and many more alizozianika katika face book!!! Anyway, ambao hamjaoa kazi ni kwenu kumpata a descent mother four your kids. Ni hatari sana kwa watoto wetu ambao hawajaoa na wanaokua!!! Anyway, I am old fashioned!!!! Talking of years 1947!!! Soorrry.