Mpigie kura Teddy Kalonga Spike TV

Mpigie kura Teddy Kalonga Spike TV

kwa vile ni dada kutoka nyumbani anatafuta maisha,sioni hatari kumpa hio kura na sina sababu ya kutompigia kura.
 
you poutin'....?!! lol

Hell to that naw...I ain't poutin'...I'm in a kitty (p..sy) buffet right at this minute...you in JF exchaning PMs....hahahahahaaa....you need to catch up hommie
 
Jamani kuwa tu ulaya ni maendeleo, nyie vipi mnapinga maendeleo?
 
Hongera Teddy!! Jamani hadi kufikia hapo anastahili pongezi. Hivyo watanzania tutakua lini? Watu bado wana fikra za miaka ya 47, hii ni karne ya 21 wajemeni, wenye mawazo ya enzi za Nyerere mbaki hivyo hivyo.
 
Hongera Teddy!! Jamani hadi kufikia hapo anastahili pongezi. Hivyo watanzania tutakua lini? Watu bado wana fikra za miaka ya 47, hii ni karne ya 21 wajemeni, wenye mawazo ya enzi za Nyerere mbaki hivyo hivyo.

Aaaah na wewe nawe bana....kwani wewe fikra zako zikoje?
 
I hate Yo Yo and this gal.....Mungu mlaani Yo Yo awe mwana si ridhiki na TK awe bubu! akose utangazaji...sorry I wont vote anyway!
tehe tehe shem temea mate chini....Tk mwenyewe ana maneno haya
"well, nilienda kufanya interview sikujua kama kutakuwa na mambo ya picha au competitions, ila ndio hivyo nimekuwa mmoja wa washindani".
Alivyoulizwa inakuwaje chanel hio inahusiana vipi na mambo haya alijibu kuwa...
…mambo mengi kama the most shocking reality things, cars, I mean vitu vingi vinavyopendwa na wanaume mostly"

Mie binafsi sijapendezwa kabisa na baadhi ya picha ambazo zinaonyesha dhahiri uke wake hadharani maana nimejiuliza iweje interview ya kuwa mtangazaji upige picha za namna ile?
 
Yo Yo soon utakuwa mwana si ridhiki ninafunga na kuomba ....
 
Mie binafsi sijapendezwa kabisa na baadhi ya picha ambazo zinaonyesha dhahiri uke wake hadharani maana nimejiuliza iweje interview ya kuwa mtangazaji upige picha za namna ile?

Unaimanisha hayo?
 
Unashabikia mambo yanayokiuka maadili ukizingatia Ramadan imekaribia!
Ndio sababu haswa ya mie kufunga kupunguza dhambi.....shem mambo ya majuu haya bana si unaona wadogo zake wakina sasha na pretty wanaunga mkono.......mpigie kura bana
 
what?kuvaa bikini ni kudhalilishwa?since when?.mbona sasa unaleta issue za miaka ya 47?hii ni karne ya 20 jamani hebu try to think about it.bado tuu mnataka watu waishi kama walivyoishi wazazi wetu common now.Hebu give her credits at least ana hustler kihalali na wala siyo kwa kujiuza au kula rushwa.

TK yupo juu kinoma alafu very down to earth,get to know her kabla hujam-judge.
69324.jpg


Wow......
 
Back
Top Bottom