Wazo lako la kupanda vitu vidogo vidogo nyumbani ili usinunue masokoni ni zuri sana.Kweli Nna mkono wa kupanda vitu
Naona pilipili yangu imekubali
Ni vzri kupanda vitu vidogodogo nyumbani
Syo kila kitu kwenda nunua sokoni
Ova
View attachment 1105376
Picha pleaseMimi kwangu nimepanda pili pili, mchai Chai papal, Mchicha na sasa kuna mahindi ya kuchoma, shinaa moja la mgomba na pia Nafuga kuku
Mpk burdanNamashina manne yote shakula ndizi kwakweli ukiwa na eneo la kutosha mambo yanakuwa safi.View attachment 1105501
Mkuu umeona hapo juu, Nina miogo miwili mitatu piaPicha please
YATATOSHA MATONGE MANGAPI KWA MTI MMOJA??Unafahamu kuwa majani ya mpilipili yanapikwa na kuliwa kama mchicha
HADI KITUNGUU, VILE VIUNGO VYA MAPILAU, ππππππMie sinunui kitu labda mchele[emoji2][emoji2]
Kweli Nna mkono wa kupanda vitu
Naona pilipili yangu imekubali
Ni vzri kupanda vitu vidogodogo nyumbani
Syo kila kitu kwenda nunua sokoni
Ova
View attachment 1105376
[emoji23][emoji23]HADI KITUNGUU, VILE VIUNGO VYA MAPILAU, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
kweli?Unafahamu kuwa majani ya mpilipili yanapikwa na kuliwa kama mchicha
Ni kweli kabisa hata majani ya mmbamiakweli?