mkuu mti wa mbilimbi huwa una mbegu zake au ni upate shina changa.Nna mti wa mbilimbili tena
Mm licha ya makeke mengi ila kwenye utengenezaji a chali ni balaa
Ova
Matawi ya pembeni kwenye huu mti ukipanda hayawezi Ota maana nimeutafuta nipande home mti umekuwa adimu Sana na mstafeli natamani uwe jirani niombe nipande homeMtunda una mbegu
Unaweza Pata miche kutokana na mbegu zake
Ova
Mm najuaga matunda yanayoanguka chini huchipua miche ykeMatawi ya pembeni kwenye huu mti ukipanda hayawezi Ota maana nimeutafuta nipande home mti umekuwa adimu Sana na mstafeli natamani uwe jirani niombe nipande home
HahahahKwa jinsi ninavyopenda kula pilipili natamani niutoe huo kwako nihamishie ninapoishi