TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Wasira ni very short term measure kwani Kwa sasa inatumika tactic na siyo strategyHata wenyewe hawaelewi
Storm ya magu and post magu era siyo mchezo
Yetu macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasira ni very short term measure kwani Kwa sasa inatumika tactic na siyo strategyHata wenyewe hawaelewi
CCM ni Kwa Moto Sana sanaWasira ni very short term measure kwani Kwa sasa inatumika tactic na siyo strategy
Storm ya magu and post magu era siyo mchezo
Yetu macho
Nadhani kuna namna hawa vijana/wazee watatu (Mongela, Nchimbi na Makala) wamebadili upepozzzzCCM ni Kwa Moto Sana sana
Kwani ni lazima abaki ccm mwambie ahameWakuu,
Mpina hapa alipigwa na kitu kizito, hakuamini alichokuwa anakisikia![]()
.
Kama vile alitaka awe anaota, hajaelewa kabisa kuhusu mama ake Lucas Mwashambwa kupitishwa kugombea Urais 2025.
Sa itakuaje?
View attachment 3206927
Unadhani nini kilikuwa kinapita kichwani kwake muda huo? Nani alikuwa azimio lake? Au na yeye alitaka kuchukua fomu kumchalenji mama?
Mpina na wengine hawawezi kukubali kirahisi hivyo. Ndio TATIZO la kuwa Mwenyekiti na wakati huo huo ni RaisNadhani kuna namna hawa vijana/wazee watatu (Mongela, Nchimbi na Makala) wamebadili upepozzzz
hasira na gubu ya kutemwa uwaziri vinamtesa moyoni na aklini huyo muungwana ambae ni mpweke sana kisiasa, kwa sasa.🤣🤣🤣 We kunguni, kwani ni lazima kila mtu ampende mama kama Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah?
Hakika Mpina alitarajiwa kuchukua form. Siyo yeye tu wapo wazalendo wengine mlengo wa kimagufuli wangemchalenji mama. Hakika reactionaries kwenye ccm wamecheza mchezo wa kushtukiza. Yaani ni wezi kama ilivyotarajiwa. Wapinga maendeleo watu binafsi na wahujumu wa nchi kwa kawaida sio watu waadilifu. Wameitisha mkutano mkuu kumteua makamu wa mwenyekiti huku ajenda yao kumteua mama kugombea urais ili waendelee kuihujumu nchi kwa kukabidhi mali asili zake kwa wahindi na waarabu. Wazalendo amkeni tokeni kwenye usingizi kuona namna ya kuwakabili wezi wa uteuzi mgombea urais ccm.Wakuu,
Mpina hapa alipigwa na kitu kizito, hakuamini alichokuwa anakisikia![]()
.
Kama vile alitaka awe anaota, hajaelewa kabisa kuhusu mama ake Lucas Mwashambwa kupitishwa kugombea Urais 2025.
Sa itakuaje?
View attachment 3206927
Unadhani nini kilikuwa kinapita kichwani kwake muda huo? Nani alikuwa azimio lake? Au na yeye alitaka kuchukua fomu kumchalenji mama?
Na zanzibar ife ili jamhuri ya Muungano wa Tanzania iwe na rais mmoja.Tanganyika ilisha kufa
Mpaka sasa Zanzibar ipo, ila Tanganyika ilisha kufa, ukitaka Zanzibar ife huo ni mchakato mwengineNa zanzibar ife ili jamhuri ya Muungano wa Tanzania iwe na rais mmoja.
Tofauti na hivyo , Tanganyika iwe na rais wake pia na muungano uwe ni wa serikali tatu. Sio sawa mzanzibar kuamua mambo ya Tanganyika kama ambavyo sio sawa mtanganyika kuamua mambo ya zanzibar.
Ninachojua Mpina amekuwa akimusifia Samia hadharani kuwa ni mchapa kazi.Wakuu,
Mpina hapa alipigwa na kitu kizito, hakuamini alichokuwa anakisikia![]()
.
Kama vile alitaka awe anaota, hajaelewa kabisa kuhusu mama ake Lucas Mwashambwa kupitishwa kugombea Urais 2025.
Sa itakuaje?
View attachment 3206927
Unadhani nini kilikuwa kinapita kichwani kwake muda huo? Nani alikuwa azimio lake? Au na yeye alitaka kuchukua fomu kumchalenji mama?
Hata katiba inatoa njia ya kufanya kwa watu wanaomkataa kiongozi waoKumkataa kiongozi wako aliyeko madarakani kwa wakati huo ni uhaini.
Wewe ni trashKama anataka aondoke CCM maana CCM ina hazina ya watu
Wajumbe watu wabaya sana,walimuhakikishia wako pamoja nae, na Mpina nae akamwqga mpunga kwa Wajumbe!!Wakuu,
Mpina hapa alipigwa na kitu kizito, hakuamini alichokuwa anakisikia![]()
.
Kama vile alitaka awe anaota, hajaelewa kabisa kuhusu mama ake Lucas Mwashambwa kupitishwa kugombea Urais 2025.
Sa itakuaje?
View attachment 3206927
Unadhani nini kilikuwa kinapita kichwani kwake muda huo? Nani alikuwa azimio lake? Au na yeye alitaka kuchukua fomu kumchalenji mama?
Hahaaaa umesomekaaaClip imeshafika kwa mama, hata akihamia chadema, uchaguzi sio wake, ni wa Tume ya Uchaguzi, atanyooshwa hukohuko.
Ale na magino m'ntwe
Hapana wasimkate; anaweza akayumbisha kura. Mkoa anaotoka na pia jimbo analotoka, vina signaificance kubwa kwenye uchaguzi ujao. Mh Nchimbi yupo hekima zake zitarekebisha haya ni madogo sana kwakeMpina ni mpumbavu sana, namshauri mama amkate kwenye ubunge
U-radical umezidi kiwango; na inapokuwa imetokea hivyo, inakuwa siyo siasa tena bali persona attacks. U-radical ukizidi kiwango unatoka kwenye Siasa na kutengeneza uadui binafsiMpina si chawa wala Zwazwa wala mchumia tumbo.
Ipi tena hiyo, fumbua tafadhali.Kuna chenga moja wa mwili Mama Samia kawapiga sukuma gang aisee hawaamini kilichotokea Dodoma.
Acha tu Mpina awe na hali mbaya🤣🤣🤣