Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!

Me like it

Ngoja nikamsikilize kwa upana wake.

Betina ni fisadi na tafsiri zake za hovyo za kanuni za bunge kutaka kukandamiza watu; tumestukia.
Hakuanza leo, amekuwa akitumia ufahamu wake wa sheria kupotosha, na hata kukomoa katika maamuzi yake. Ila kwakuwa wakati ule alikuwa anakomoa wapinzani, alikuwa anaonekana yuko sawa kwa upande wa wanaccm. Huyo Mpina aneyejiliza leo alikuwa kimya muda wote kiti cha spika kilipokuwa kikitumika kuonea wapinzani. Na hadi bunge kuishia kuwa kibogoyo hakuna popote Mpina alihawahi kutetea bunge la haki. Leo yamemkuta aliyoyalea, sasa anataka apate support ya watu!
 
Labda iwe ni kwa kutoa ufafanuzi tu kwa wananchi, kwa maana Luhaga Mpina hana pengine pa kwenda kudai haki tena, pa kwenda kukata rufaa; isipokuwa kwa wananchi wa nchi hii tu basi.
Kwann gwajima
 
Huu unafiki wa CCM unakera sana, hata mwakani wakimkata akatimkia upinzani watamuibia kura alafu atarudi kulialia wizi wa kura ilihali 2020 aliona ni sawa tu wapinzani kuibiwa kura!! Na wala sijawahi muona akipigania tume huru.
 
CCM NI 💩💩💩BABA YAKO AU MAMA YAKO WAKIPIGIA KURA CCM PIA NAO NI 👉💩💩💩TU...sijasema wakiwa ccm la ....kuwa ccm siyo kitu kibaya maana watu wema wakiachana kabisa na ccm basi waovu watazidi ndani yake na kuwa hatari zaidi njia moja wapo ya kupambana na waovu ni kuingia watu wema ndani ya ccm kwa wingi iwezekanavyo.
 
Huu unafiki wa CCM unakera sana, hata mwakani wakimkata akatimkia upinzani watamuibia kura alafu atarudi kulialia wizi wa kura ilihali 2020 aliona ni sawa tu wapinzani kuibiwa kura!! Na wala sijawahi muona akipigania tume huru.
2020 wapinzani awajaibiwa kura magufuli alikuwa rais kipenzi cha watanzania wazalendo..kura ziliibiwa 2015 kutokana na uongozi mbovu wa muhuni kmzee wa msoga
 
Wale viongozi vichwa maji wameshindwa kujibu hoja wakakimbilia spana
 
Shule ulienda kusomea ujinga?
Mpina kaadhibiwa kwa kulidharau bunge na si kwa ushahidi wake alioupeleka bungeni.

Pole sana kwa kubeba kichwa cha kufugia nywele badala ya kichwa cha kuhifadhi ubongo.
 
kazuiliwa baadaya kupeleka kitu chake cha ushahidi na baada ya kusikilizwa kwa siku kadhaa na kamati.

Hukumu ya kuondoilewa bungeni imetolewa na bunge lote. Kila mtu kashuhudia.

zingine zote ni porojo zake tu.
Hukumu ya kuondoilewa?
 
Anatapatapa
 
Kisiasa inatosha, na hata aende wapi hatashinda
 
Dah home boy tuko pamoja ubapiga spana za kichwa mpaka basi yaan hata chizi akisona anajua tu kuna uonevu ila sasa kuna kuna watu akili zao ziko matak ...oni wataleta uchawa💥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…