mihemko itawatesa sana vijana mpaka mpate fursa ya kutema nyongo kama mpina ndio mtapata nafuuTafuta kazi ufanye uchawa sio kazi mzee naona unahangaika sana baada ya kuona raia wanataka kuharibu kazi Yako ya uchawa
MwanaMpinaLuhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
sipendi kabisa uongo na upotoshaji kama wa huyo muungwana mnaemteteaMkuu we hua una shida gani aisee!
umepanic boy, poleRubbish 🗑️
Karibu DodomaTusipo vamia bunge kama jirani zetu tutegemee mengi Kwenye nchii hii!
Tunachukua hatua gani sasa kumsupport Mpina?Amepotosha nini na ushahidi wote kauweka hadharani watanzania wengi tumemuelewa ukitoa kundi la machawa
Sasa kama ni uongo au ukweli si mahakamani ndo mahala sahihi pa kutafsiri yote haya, kwanini uchukizwe na mtu kwenda mahakamani?sipendi kabisa uongo na upotoshaji kama wa huyo muungwana mnaemtetea
nafurahishwa na mihemko na ghadhabu zenu dhidi ya ukweli
Tafuta kazi ufanye mzee uchawa sio kazi tena waachie baba levo na mwijaku wewe huna ushawishi Kwa watumihemko itawatesa sana vijana mpaka mpate fursa ya kutema nyongo kama mpina ndio mtapata nafuu
Kwann asihutumie muda huu kukaa karibu na wapiga kura wake ? Kuliko kushindana na serikali,anaamini ataishinda huko mahakamani? Kama wabunge wote pamoja na kwamba wa chama chake hawakumuunga mkonoLuhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Huyu Tlaatlaah ni mbunge.Kumbuka Mpina keshakuwa mbunge kwa miaka 15 mfululizo wakati wewe kenga mayai hata uenyekiti wa mtaa hakuna anayeweza kukuchagua
Ndio wabunge wetu walivyo vilaza kupindukia.Sio mbunge
Ni wakati sasa waTanzania wote tuwe nyuma ya MpinaHii ndiyo maana halisi ya uzalendo. Kujitoa na kutetea kwa hali yoyote ile maslahi mapana ya taira.
Luhaga Mpina ana hoja sema yupo mbele ya wakati!Nimesikia mwanzoni, katikati na dakika 15 za mwisho. My Take:-
1. Ana nguvu kubwa nyuma yake inayomsukuma. Kusema kuwa Luhaga Mpina anatetea raslimali za umma na kwamba ni mzalendo siyo kweli
2. Ana some facts ambazo amazisimamia japo ametawaliwa na unafiki pia. Kuna vitu vibaya sana walifanya akiwa kwenye Serikali ya Magufuli lakini hakuwahi kuhoji
3. Akienda Mahakamani ataishia kwa Msajili wa Mahakama. Yaani shauri lake linaweza lisipate namba
4. Kama litapata namba basi na DPP lazima aingie kwa ajili ya kuendesha kesi ya jinai. Hii itakuwa sawa na kesi ya Gekul vs yule wa kuwekwa chupa makalioni.
5. DPP akiingia mention ya pili tu anaomba nolle prosecui
Nami nakazia Kila la Kheri.Kila la kheri.