Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

MwanaMpina
 
Kwann asihutumie muda huu kukaa karibu na wapiga kura wake ? Kuliko kushindana na serikali,anaamini ataishinda huko mahakamani? Kama wabunge wote pamoja na kwamba wa chama chake hawakumuunga mkono
 
CCM na chawa wengi hawajui kuwa Mpina amehukumiwa si kwa kupotosha au kusema uongo, ila ni kwa kulidharau bunge.

Ukweli wa yale yote aliyoyasema Mpina unabaki pale pale.
Bashe hajasafishwa na bunge tuhuma zote alizozitoa Mpina.
 
Luhaga Mpina ana hoja sema yupo mbele ya wakati!
Sema Wabongo wa leo wanataka sukari... Ufisadi kwenye mchakato wa sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…