Mpina: Misamaha holela ya Kodi ni Wizi, Serikali inapoteza Mapato kwa Upendeleo

Mpina: Misamaha holela ya Kodi ni Wizi, Serikali inapoteza Mapato kwa Upendeleo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amesema misamaha holela ya kodi katika bei za bidhaa ikiwemo biashara ya sukari imepelekea serikali kupoteza mapato na kwamba vitendo hivyo ni wizi kati ya wafanyabiashara na watumishi wa Serikali.

Mbunge huyo ameeleza kuwa inashangaza misamaha hiyo inayotolewa kwa upendeleo imekuwa ikitolewa kiholela huku serikali ikienda kukopa nje na kupendekeza tume hiyo iliyoundwa na Rais kufanya uchunguzi juu ya suala hilo

Mpina ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maoni yake kwenye Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi.

"Akiongea Mpina kwamba kuna misamaha ya kodi ya kiholela huko anaonekana mbaya, anaonekana anachongea watu na wengine wanaenda mbali 'hakipendi chama'", ameeleza.
 
Ile press ilikuwa mouthful, masaa sita+. Ina cover kila sekta!
 
Mwigulu mwenye ukimuangalia uso sasa hivi ana sura ya mlevi kupindukia (cha pombe) sio tena yule młokole.

Kaiba mpaka ka saza. anaona aibu, anasubiri kutumbuliwa tu, iwe zamu ya mwingine kuhalalisha uhuni wa ‘bi-tozo’.Ukimwangalia ata yeye anaona ni too much.
 
Mwigulu mwenye ukimuangalia uso sasa hivi ana sura ya mlevi kupindukia (cha pombe) sio tena yule młokole.

Kaiba mpaka ka saza. anaona aibu, anasubiri kutumbuliwa tu, iwe zamu ya mwingine kuhalalisha uhuni wa ‘bi-tozo’.Ukimwangalia ata yeye anaona ni too much.
Tume huundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia
 
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amesema misamaha holela ya kodi katika bei za bidhaa ikiwemo biashara ya sukari imepelekea serikali kupoteza mapato na kwamba vitendo hivyo ni wizi kati ya wafanyabiashara na watumishi wa Serikali.

Mbunge huyo ameeleza kuwa inashangaza misamaha hiyo inayotolewa kwa upendeleo imekuwa ikitolewa kiholela huku serikali ikienda kukopa nje na kupendekeza tume hiyo iliyoundwa na Rais kufanya uchunguzi juu ya suala hilo

Mpina ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maoni yake kwenye Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi.

"Akiongea Mpina kwamba kuna misamaha ya kodi ya kiholela huko anaonekana mbaya, anaonekana anachongea watu na wengine wanaenda mbali 'hakipendi chama'", ameeleza.
View attachment 3217899
Tupo nawe Mpina.. CCM msemakweli uliyebaki
 
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amesema misamaha holela ya kodi katika bei za bidhaa ikiwemo biashara ya sukari imepelekea serikali kupoteza mapato na kwamba vitendo hivyo ni wizi kati ya wafanyabiashara na watumishi wa Serikali.

Mbunge huyo ameeleza kuwa inashangaza misamaha hiyo inayotolewa kwa upendeleo imekuwa ikitolewa kiholela huku serikali ikienda kukopa nje na kupendekeza tume hiyo iliyoundwa na Rais kufanya uchunguzi juu ya suala hilo

Mpina ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maoni yake kwenye Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi.

"Akiongea Mpina kwamba kuna misamaha ya kodi ya kiholela huko anaonekana mbaya, anaonekana anachongea watu na wengine wanaenda mbali 'hakipendi chama'", ameeleza.
View attachment 3217899
Madelu linalosamehe hii fedha lenyewe limeishabomoka. Sijui linaumwa nini. Kweli Mungu anajua kuyaadhibu haya majambazi yenye mamlaka.
 
Back
Top Bottom