Mpina, Panya anayejaribu kumvisha paka kengele!

Mpina, Panya anayejaribu kumvisha paka kengele!

Yule jamaa wa vunjo aanze kupasha misuli moto kuna sub itafanyika siku chache zijazo kama kina mpina wanatumika kama vuvuzela kupaza sauti kwa yule mshambuliaji atolewe. Mechi ni kali kinachosubiriwa ni refa kuamua mwenyewe
 
Mh Mpina the personal attack is too much kwa Mh Mwigulu haiwezekani ukamuandama Mwanaume mwenzio hivyo nina wasi wasi na jinsia yako ?Mambo ya Uganga wa kienyeji kuna uongo gani wewe ndio Mchawi mkubwa na mlishaongea bungeni mkamaliza ? Kwa nini ulimi uteleze umeamua kwa makusudi kutoa takwimu za uongo unajifanya ulimi umeteleza uchochezi huo

Husibishane na mtu bishana na taasisi

Mh Raisi wakina Mpina hawakufungua ulimi enzi za mwenda zake tumia njia hiyo ya mwenda zake kuwapa discipline kwa wote wanaoleta midomo kwenye serikali yako
Because the guy who is attacked, has got flaws everywhere. Hakuna siri. Ilikuwa rahisi kusema wengine hawana sifa na wezi. Ila je, sasa hivi hakuna wizi? Kama upo, ni kwa kiasi gani?
 
Mh Mpina the personal attack is too much kwa Mh Mwigulu haiwezekani ukamuandama Mwanaume mwenzio hivyo nina wasi wasi na jinsia yako ?Mambo ya Uganga wa kienyeji kuna uongo gani wewe ndio Mchawi mkubwa na mlishaongea bungeni mkamaliza ? Kwa nini ulimi uteleze umeamua kwa makusudi kutoa takwimu za uongo unajifanya ulimi umeteleza uchochezi huo

Husibishane na mtu bishana na taasisi

Mh Raisi wakina Mpina hawakufungua ulimi enzi za mwenda zake tumia njia hiyo ya mwenda zake kuwapa discipline kwa wote wanaoleta midomo kwenye serikali yako
Wajinga ndiyo waliwao! Nenda kamfufue huyo shetani mwenzio!
 
Back
Top Bottom