Mpina yuko sahihi, Wizara walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba

Mpina yuko sahihi, Wizara walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.
 
Mpina ni Ng'ombe aliyekatwa mkoa, wakati anakula akiwa waziri hatumsikia, akae kitako kwa kutumia, hapo ni mashujaa feki.
 
Acha wampuuze tu mnafiki mkubwa huyu wa CCM. Nakumbuka wapinzani waliwahi kulilia mikataba iletwe bungeni ila yeye akiwa waziri hakuwahi diriki kufanya hivyo hata siku Moja.

Kuna sheria inaitwa TEITI inalazimu mikataba kwenye sekta ya madini iletwe bungeni for review. Cha kushangaza Hawa sukuma gang walitoa maneno ya kejeli kwa mbunge wa Chadema Jessica Kishoa aliyepeleka hoja hii baada ya kadhia ya Makinikia.

Kipindi Cha JPM wote Hawa waliufyata maana walikua wananufaika na usiri wa mikataba. Hii imeshatengeneza precedence mbaya. So aache unafiki kama hakumwambia JPM afuate sheria za kuweka wazi mikataba basi asijifanye mzalendo awamu ya sita kinafiki.

This guy is utter crap, ni ajabu sana anaonekana mzalendo wakati alikuwepo kipindi sheria hizi zinakanyagwa wazi na hakutoa neno.
 
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.
tatizo hapa ni wewe kuamini kuwa bunge linaweza kuwajibika kama bunge. Vikao vipo kama desturi tu ila ilitakalo serikali ndio hupita
 
Acha wampuuze tu mnafiki mkubwa huyu wa CCM. Nakumbuka wapinzani waliwahi kulilia mikataba iletwe bungeni ila yeye akiwa waziri hakuwahi diriki kufanya hivyo hata siku Moja.

Kuna sheria inaitwa TEITI inalazimu mikataba kwenye sekta ya madini iletwe bungeni for review. Cha kushangaza Hawa sukuma gang walitoa maneno ya kejeli kwa mbunge wa Chadema Jessica Kishoa aliyepeleka hoja hii baada ya kadhia ya Makinikia.

Kipindi Cha JPM wote Hawa waliufyata maana walikua wananufaika na usiri wa mikataba. Hii imeshatengeneza precedence mbaya. So aache unafiki kama hakumwambia JPM afuate sheria za kuweka wazi mikataba basi asijifanye mzalendo awamu ya sita kinafiki.

This guy is utter crap, ni ajabu sana anaonekana mzalendo wakati alikuwepo kipindi sheria hizi zinakanyagwa wazi na hakutoa neno.
Wewe ni mpumbavu. Kwamba wampuuze Mpina? Hizo hoja zinamhusu Mpina au walipa Kodi ukiwemo wewe? Hii nchi ina wajinga wajinga wengi mno
 
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.
Mpina yupo sahihi
 
Wewe ni mpumbavu. Kwamba wampuuze Mpina? Hizo hoja zinamhusu Mpina au walipa Kodi ukiwemo wewe? Hii nchi ina wajinga wajinga wengi mno
Wewe ndio mpumbavu, kwani hizo sheria hazikuwepo tokea enzi za JPM? Huyo Mpina akiwa waziri ni mkataba upi wa wizara yake aliwahi peleka bungeni? Kakosa uwaziri anaanza kelele alafu unataka wote tuwe mazuzu. No my friend awadanganye wajinga wengine sio Mimi. We Kaa hapo ulidhani anapigania haki zako wakati mwenzio anataka kurudishiwa uwaziri.

Tutarudi hapa akishaupata uwaziri nifukue nyuzi zenu hizi baada ya kukana yote anayopigia kelele wakati huu.
 
Acha wampuuze tu mnafiki mkubwa huyu wa CCM. Nakumbuka wapinzani waliwahi kulilia mikataba iletwe bungeni ila yeye akiwa waziri hakuwahi diriki kufanya hivyo hata siku Moja.

Kuna sheria inaitwa TEITI inalazimu mikataba kwenye sekta ya madini iletwe bungeni for review. Cha kushangaza Hawa sukuma gang walitoa maneno ya kejeli kwa mbunge wa Chadema Jessica Kishoa aliyepeleka hoja hii baada ya kadhia ya Makinikia.

Kipindi Cha JPM wote Hawa waliufyata maana walikua wananufaika na usiri wa mikataba. Hii imeshatengeneza precedence mbaya. So aache unafiki kama hakumwambia JPM afuate sheria za kuweka wazi mikataba basi asijifanye mzalendo awamu ya sita kinafiki.

This guy is utter crap, ni ajabu sana anaonekana mzalendo wakati alikuwepo kipindi sheria hizi zinakanyagwa wazi na hakutoa neno.

Kwa hiyo alikosea huko kipindi cha zamani basi anakosa haki ya kujirekebisha na kufanya yaliyo sahihi?

Umesoma kitabu cha Mwalimu Nyerere “tujisahihishe”.

Hata kama alikuwa shetani kama sasa amekuwa malaika basi tuendelee kumuona ni shetani.

Tuzingatie hoja zake za sasa maana ndicho kitakacholeta matokeo.
 
Kwa hiyo alikosea huko kipindi cha zamani basi anakosa haki ya kujirekebisha na kufanya yaliyo sahihi?

Umesoma kitabu cha Mwalimu Nyerere “tujisahihishe”.

Hata kama alikuwa shetani kama sasa amekuwa malaika basi tuendelee kumuona ni shetani.

Tuzingatie hoja zake za sasa maana ndicho kitakacholeta matokeo.
Hapana mkuu hapa ndio raia tunafeli maana tunazungukwa hivyo hivyo Kila siku hatujifunzi tu. Tafuta wote waliokosa uwaziri ni wakali kweli kuanzia Mpina Hadi Waitara ila jiulize wanayopigia kelele walipokua wizarani waliyatekeleza?

Mfano Mpina analilia majina ya mkataba yawekwe wazi ilihali hoja hiyo hiyo iliwahi letwa na Jessica Kishoa kuwa kama JPM ni mzalendo basi aweke wazi mikataba yote ya madini aliyoingia na Barrick. Huyu Mpina alikuwepo kwenye baraza la mawaziri lakini sikusikia popote akiunga mkono.

Tuna sheria ya TEITI nimeshaeleza Huko juu inalazimu mikataba iwekwe wazi bungeni. Hivi huyo Mpina umewahi sikia kapeleka mkataba wowote kwenye sekta yake ya uvuvi au mazingira? Sasa kivipi Leo kakosa uwaziri ndio ajifanye kulilia mikataba iwekwe wazi?

Huu ndio unafiki tunaopinga maana Leo akipewa Tena uwaziri utashangaa anafanya haya haya anayopinga. So ni Bora hoja zake ampe mbunge mwingine au wale COVID 19 walau watazichukulia serious kuliko huyu mnafiki anayebwabwaja baada ya kukosa uwaziri.
 
Huu ndio unafiki tunaopinga maana Leo akipewa Tena uwaziri utashangaa anafanya haya haya anayopinga. So ni Bora hoja zake ampe mbunge mwingine au wale COVID 19 walau watazichukulia serious kuliko huyu mnafiki anayebwabwaja baada ya kukosa uwaziri.
Mkuu, bado hujajibu swali la msingi. Kwahiyo aliyekosea hapaswi kurekebika?

Hoja iwe hivi; Mpina sio sehemu ya serikali kwa sasa! Kiapo chake ni kwaajili ya wananchi na nchi kwa ujumla wake, SIO JUKUMU LAKE KUTUNZA SIRI ZA BARAZA LA MAWAZIRI.

Ndani ya Baraza, Boss ni mmoja, na ndio mfumo ulivyo, huwezi kumu-outclass boss, iwe siasani au ajirani sio?

Usipokubaliana na maamuzi ya kikao, ama ujiuzulu au ukae kimya, SIO UKAYAONGEE NJE ya KIKAO cha BARAZA! Dhima nzima ya kusema, mtu anapewa nafasi fulani kufungwa mdomo, sio ili naye awe sehemu ya UPIGAJI, ila awe chini ya MFUMO utakaomzuia kufanya atakavyo.

Mpina akiwa nje ya Baraza, ana haki ya kuzungumzia kila analolijua kwa maslahi mapana ya nchi. Mkimpa uwaziri, ata fall under the Hierarchy system.

Bashe, akiwa mbunge, alibwabwaja sana kuishangaa serikali, LEO???

Lisu, Mbowe, wamepewa walivyovikosa, leo wanaongea nini?

Unazisikia kelele za Halima?

Zito bado yuko awamu ya 5, unadhani kwanini?
 
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.
Eti kila mtanzania atakuunga mkono, atakayemwunga mkono kichaa km Luhaga Mpina ni zezeta km wewe tu. Hizo taarifa ampelekee kijana mwenzake Chato kaburini. Mpina ni mnafki, mkuda anahangaika na serikali ya mama lakini kwa kuwa watanzanaia wameshamjua atahangaika mwishoni ataacha mwenyewe atakapoona hakuna anayemuunga mkono. Aombe hekima itamsaidia.
 
Wewe ni mpumbavu. Kwamba wampuuze Mpina? Hizo hoja zinamhusu Mpina au walipa Kodi ukiwemo wewe? Hii nchi ina wajinga wajinga wengi mno
we ndiyo mpumbavu, huyo mnafiki hana hoja anahangaika baada ya kukosa uwaziri. Hiyo hoja km kweli ni hoja mi naona ni kioja inamhusu mkewe pengine na wewe
 
Mkuu, bado hujajibu swali la msingi. Kwahiyo aliyekosea hapaswi kurekebika?

Hoja iwe hivi; Mpina sio sehemu ya serikali kwa sasa! Kiapo chake ni kwaajili ya wananchi na nchi kwa ujumla wake, SIO JUKUMU LAKE KUTUNZA SIRI ZA BARAZA LA MAWAZIRI.

Ndani ya Baraza, Boss ni mmoja, na ndio mfumo ulivyo, huwezi kumu-outclass boss, iwe siasani au ajirani sio?

Usipokubaliana na maamuzi ya kikao, ama ujiuzulu au ukae kimya, SIO UKAYAONGEE NJE ya KIKAO cha BARAZA! Dhima nzima ya kusema, mtu anapewa nafasi fulani kufungwa mdomo, sio ili naye awe sehemu ya UPIGAJI, ila awe chini ya MFUMO utakaomzuia kufanya atakavyo.

Mpina akiwa nje ya Baraza, ana haki ya kuzungumzia kila analolijua kwa maslahi mapana ya nchi. Mkimpa uwaziri, ata fall under the Hierarchy system.

Bashe, akiwa mbunge, alibwabwaja sana kuishangaa serikali, LEO???

Lisu, Mbowe, wamepewa walivyovikosa, leo wanaongea nini?

Unazisikia kelele za Halima?

Zito bado yuko awamu ya 5, unadhani kwanini?
Kwanza mtu ukishakuwaga waziri halafu baada ya kuukosa unakuja kubwabwaja uraiani ni kukosa hekima. Mengine pengine ameyajua ndani ya baraza la mawaziri ambayo uliapa kulinda km siri za baraza la mawaziri leo unataka uonekane unajua mambo ni ushamba tu. Mpina hafai tena kuwa kiongozi mkubwa nchi hii.

Akajifunze hekima kutoka kwa George Simbachawene. Ni wananchi wachache watakuamini tena kuwa unatetea wananchi zaidi ya tumbo lako. Ukishakuwa mserikali unatakiwa uendelee kuzungukia mlemle. Mbona Dr. Medard Kalemani ametulia? Huyu hajafunzwa vizuri au ana upungufu wa malezi. Ni mtoto wa single mother au ushamba tu wa kinyantuzu?
 
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.
mpina ni muongo na ni mzushi kajibiwa hoja kwa hoja na ndumbaro kwa ushahidi
 
Mhe. Mpina nianze kukupongeza kwa michango yako kila Bunge linapokaa. Leo ulipokuwa unachangia kwenye bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba ulitoa hoja ambayo kila Mtanzania atakuunga mkono.

Wizara katika taarifa yake walitaja Idadi ya mikataba bila kutaja jina la mkataba na thamani ya kila mkataba. Unapotayarisha taarifa yako lazima iwe detailed. Wizara inataja tu mikataba bila kuambatisha annexes. Je hiyo ni sahihi?.

Hapa Mhe. Mpina alikuwa sahihi kabisa. Leo nimeishangaa kiti cha Mwenyekiti kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Mimi sielewi Bunge hili linafanyaje kazi kupuuzia mambo ya msingi kama hoja ya Mhe. Mpina. Pili, lingine alilouliza ni Azimio lililoletwa mbele ya Bunge ikidaiwa kuwa tayari ilikwishajadiliwa na Bunge kumbe bado. Hapa pia kiti cha Mwenyekiti linanyamazie jambo zito kama hilo.

Mhe. Mpina utachukiwa sana kwa kusema ukweli na sisi tuliopo huku uraiani tunakuombea kwa Mungu. Hoja zako ni za ukweli lakini kiti cha Spika kinakuangusha.

Nihitimishe kwa kusema kuwa nimemshangaa sana Mwenyekiti kwa kupuuzia hoja ya Mhe. Mpina. Hivi Bunge letu lina matatizo gan?. Time will tell.

Huu mchezo wa bunge kuchezea maoni ya wabunge ni jambo la muda mrefu, na Mpina alikuwa anaona sawa kwakuwa waliokuwa wanazibiwa hoja zao ni wapinzani. Sasa hivi tabia ya spika kuzuia hoja za wabunge imeota mizizi, ndio akina Mpina na nyie wapambe wao mnaona ni jambo la ajabu. Subirini mvune uhuni ulioapandwa kwa kuendekeza itakadi za kisiasa bungeni.
 
Ninawashangaa sana wanaombeza Mhe. Mpina. Mhe. Mpina was 100% right. Tujiulize tu kuleta ripoti ya mikataba mbele Bunge bila viambatisho kwa mfano mkataba Na. 1 kiambatisho ni hiki ndiyo sheria inavyotaka. Kumtuhumu kuwa analilia cheo cha Uwaziri haina mashiko. Hoja hapa ni sheria kuleta orodha ya mikataba bila viambatisho?. Tuache mambo ya ushabiki. Mimi ninatupa lawama kwenye kiti cha Spika kunyamazia mambo ya msingi. Sijui Bunge letu lina matatizo gani.
 
Back
Top Bottom