Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Sahihi kabisaLeo hii CCM hawajibu hoja za wapinzani(Labda ni nyepesi) wako bize "Kuijibu" serikali ya awamu ya tano.
Kwa sasa mpinzani mkubwa wa CCM ni serikali ya awamu ya tano, na kidogo wanaharakati. Hawana muda kabisa na hoja za wapinzani.
Upinzani umekuwa nyanya kiasi hicho hadi CCM wanatafuta upinzani toka ndani yao wenyewe?
Hoja za wapinzani hazina mashiko hadi ziwahangaishe na kuwatesa CCM kuzijibu?
Leo hii CCM hawajibu hoja za wapinzani(Labda ni nyepesi) wako bize "Kuijibu" serikali ya awamu ya tano.
Kwa sasa mpinzani mkubwa wa CCM ni serikali ya awamu ya tano, na kidogo wanaharakati. Hawana muda kabisa na hoja za wapinzani.
Upinzani umekuwa nyanya kiasi hicho hadi CCM wanatafuta upinzani toka ndani yao wenyewe?
Hoja za wapinzani hazina mashiko hadi ziwahangaishe na kuwatesa CCM kuzijibu?
upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm. maneno ya mwal.
Kwa kusemea ni bungeni tu? Wanaharakati wapo bungeni?Una yako tu. Bungeni wamejaa wabunge wa CCM , ulitaka wapinzani waingie bungeni?. Punguza unafiki.