Mpinzani wa kweli wa kisiasa ni Bob Wine, Mbowe, Lissu na Mnyika

Mpinzani wa kweli wa kisiasa ni Bob Wine, Mbowe, Lissu na Mnyika

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Bob Wine ameingia kwenye siasa za upinzani wa kweli nchini Uganda sasa ni miaka 3.kwa muda huo mfupi ameonyesha kumpinga rais wa Uganda mh Mseven kwa vitendo bila kuogoapa.

Mseven kwa kutumia maguvu ya serikali yake juu ya mpinzani wake amekamatwa zaidi ya mara 20 na kutiwa misuko suko mingi lkn hadi leo hii Bob Wine anasema hatoogopa hadi awakomboe waganda.

Hapa Tanzania mpinzani wa kweli ni mh Mbowe, Mh Lissu, Mh Mnyika ambao wamejitoa kiukweli kuwapigania watanzania ili wapate haki zao za msingi.

Wamehukumiwa kifungo, wameharibiwa mali zao halali, wamezalilishwa ikiwa ni kuwaziba midomo na kuwakatisha tamaa lkn hadi leo wamesimama na Watanzania.

Hongereni sana kwa wapinzani wa kweli wa hapa Tanzania na wa pale nchini Uganda.

Screenshot_20201220-202645.jpg
 
Kwa Lissu na kataa mfano wa bob wine yupo uganda hana komaa hapo hapo mpaka ajue nini kinachoendelea
 
Kwa lisu na kataa mfano wa bob wine yupo uganda hana komaa hapo hapo mpaka ajue nini kinachoendelea
Utabisha kwa kuwa ni haki yako kubisha lkn ukweli mh Lissu yupo bado kwenye mapambano makubwa
 
Utabisha kwa kuwa ni haki yako kubisha lkn ukweli mh Lissu yupo bado kwenye mapambano makubwa

Mapambano gani hata marehemu cheguvala kamzidi.pigana kwako yani unachokoza mtu unakimbilia kwa kaka au baba ili aje kukusaidia.
Bob kahamua mpaka lake la mwisho ndio maana vijana wanamkubari kateseka kwa ajili ya wanachama hapo na bado yupo
 
Mapambano gani hata marehemu cheguvala kamzidi.pigana kwako yani unachokoza mtu unakimbilia kwa kaka au baba ili aje kukusaidia.
Bob kahamua mpaka lake la mwisho ndio maana vijana wanamkubari kateseka kwa ajili ya wanachama hapo na bado yupo
Naona mboga mboga imewaingia
 
Tatizo bongo mbwa nyie mkiambiwa twendeni kuandamana mnajifungia sebuleni na kuwasha TV ili mjue wangapi wamevunjwa miguu.Tunawaangusha wenyewe alafu mnawafananisha na nchi za raia wenye mioyo mipana.

Bongo nyie subirini mletewe uhuru kwenye kisosi.NIMEPENDA VILE KWA SASA AWAMU YA TANO INAVYOTUMINYA inatakiwa waongeze mbinyo mpaka tuchakae wote.
 
Tatizo bongo mbwa nyie mkiambiwa twendeni kuandamana mnajifungia sebuleni na kuwasha TV ili mjue wangapi wamevunjwa miguu.Tunawaangusha wenyewe alafu mnawafananisha na nchi za raia wenye mioyo mipana.

Bongo nyie subirini mletewe uhuru kwenye kisosi.NIMEPENDA VILE KWA SASA AWAMU YA TANO INAVYOTUMINYA inatakiwa waongeze mbinyo mpaka tuchakae wote.
 
Tatizo bongo mbwa nyie mkiambiwa twendeni kuandamana mnajifungia sebuleni na kuwasha TV ili mjue wangapi wamevunjwa miguu.Tunawaangusha wenyewe alafu mnawafananisha na nchi za raia wenye mioyo mipana.
Bongo nyie subirini mletewe uhuru kwenye kisosi.NIMEPENDA VILE KWA SASA AWAMU YA TANO INAVYOTUMINYA inatakiwa waongeze mbinyo mpaka tuchakae wote.
Mkuu jaribu kutumia lugha ya staha basi utaeleweka tu
 
Back
Top Bottom