BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mtalinganisha sana ila Tz hii hatujapata mpinzani alie ishinda njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi we uliingia barabara gani siku ile?Tatizo bongo mbwa nyie mkiambiwa twendeni kuandamana mnajifungia sebuleni na kuwasha TV ili mjue wangapi wamevunjwa miguu.Tunawaangusha wenyewe alafu mnawafananisha na nchi za raia wenye mioyo mipana...
Kiongozi we uliingia barabara gani siku ile?
Unakumbuka Mbowe alikuwa anapewa gari na milion kadhaa ili asisimamishe mgombea kule kwa mkono!! Na alikuwa anafanya hivoBob Wine ameingia kwenye siasa za upinzani wa kweli nchini Uganda sasa ni miaka 3.kwa muda huo mfupi ameonyesha kumpinga rais wa Uganda mh Mseven kwa vitendo bila kuogoapa...
Tunawabinya mafisadi kama wewe na viboko wengine tunawacharaza. Huyo Lissu wenu hamtamsikia tena kwani hata huko ubelgiji wameshambinya. Hata huyo Robert Amsterdam wake walishambinya. Sheria za Ubelgiji na kimataifa haziruhusu wakimbizi wa kisiasa kupayuka mamidomo yao kuhusu siasa za nchi walizozikimbia.AWAMU YA TANO INAVYOTUMINYA inatakiwa waongeze mbinyo mpaka tuchakae wote.
Nilikuwa USAKiongozi we uliingia barabara gani siku ile?
Umenena sahihi. Hapa kwetu mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Prof. Lipumba pekee. Huko Kenya ni Raila Odinga. Uganda kuna mwanaharaki tu anayeitwa Bob Wine. Rwanda na Burundi hakunaKiongozi mwenye kushabihiana na Bobi Wine ni Maalim Seif peke yake hakuwahi kwenda ukimbizini ata siku 1 kwa sababu ya kutishwa, na maalim seif anakotokea ameshatishwa sana zaidi ya sana bado yupo Unguja na wananchi siku zote.
Huo ni mtazamo wako wa kiccm ccm tu maana kwenu mpo tayari kuiita nyeupe kuwa nyeusi kisa ccm iendelee kutawalaUmenena sahihi. Hapa kwetu mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Prof. Lipumba pekee. Huko Kenya ni Raila Odinga. Uganda kuna mwanaharaki tu anayeitwa Bob Wine. Rwanda na Burundi hakuna
Lissu kajiunga na kundi la wanaharakati wa Tanzania linalojumlisha akina Fatuma Karume, Maria Sarungi, Jenerali Ulimwengu, IDU na Waryoba!