Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Tarehe 16/04/2023 siyo mbaliUtakandwa tano tena au ushasahau mkono
Naiscreenshot hii reply yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 16/04/2023 siyo mbaliUtakandwa tano tena au ushasahau mkono
Dada huwa una wivu wewe, mmeo atapata taabuuuuu sanaaaa😅😅🏃🏃Timu za hovyo, bure kabisa!
Huyo monastriene tushamjulia
Wabaki huko huko kwenye kombe lao la mbuzi huku kwa wanaume hawapaweziWana wish wangekuwepo super cup kama mnyama
Huna haja ya ku-screenshot uzi upo na utabakiAaaahaaaaa
Naiscreenshot hii reply yako usikimbie siku hiyo
AahaahahaWabaki huko huko kwenye kombe lao la mbuzi huku kwa wanaume hawapawezi
WataukimbiaHuna haja ya ku-screenshot uzi upo na utabaki
ila pia najaribu kiziangalia hizo timu na sioni wa kumzuia yanga kubeba kombeTimu zilizoingia robo fainali kombe la CAF CC ni:
1)Asec Mimosa-Cote d'Ivore
2)Rivers United-Nigeria
3)Marumo Gallants-South Africa
4)Young Africans-Tanzania
5)AS Far Club-Morocco
6)Pyramids-Egypt
7)US Monastrienne-Tunisia
8)USM Alger-Algeria
Kuna timu nne za Juu ya Jangwa la Sahara na nne za chini ya Jangwa la Sahara
Je,ni nani ataangukia mikononi Mwa mabingwa wa kihistoria wa Tanzania!?
NB:
Rivers waombe wapishane na kikombe Cha Yanga,wakikipata ni lazima tulipe kisasiView attachment 2576216View attachment 2576217
Naiscreenshot hii reply yakoMkikutana na pyramid
mtakubali
QUMAMAQE
screenshot tu mkuu hahahNaiscreenshot hii reply yako
Aahajajascreenshot tu mkuu hahah
Hao ndo uto na litimu Lao wanalipamba ovyoNilivyoona neno 'Super' nikadhani Yanga imeongezwa kwenye timu zitakazocheza Super League
Mifiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...........nyeeeee!!!!Nilivyoona neno 'Super' nikadhani Yanga imeongezwa kwenye timu zitakazocheza Super League
Mkuu na wewe Pamba lakoHao ndo uto na litimu Lao wanalipamba ovyo
Mkuu ni Leo hiiAhaa kesho ndo watoto wanapangiwa ratiba ya kurukaruka,ok..haya kaka zao lini hiyo ratiba yao??